Unaota unaota jua usiku wa juzi wakati unaota???!!! Hilo balaa kubwa kwako - tangu lini jua likawaka usiku, na hilo jua la usiku uliliota ulikuwa unasikia baridi au?
hivi mtu ukiota unaota ndoto ambayo uliiota
unaota jua wakati unaota usiku wa juzi...!
inamaanisha nini?
NATANGULIZA SHUKRANI🙂