Ni ngumu kuamini kutokana na chanzo cha habari.wananchi wengi nchini ufaransa wamesema wangependa raisi mstaafu wa Marekani Obama aende nchini humo kugombea nafasi ya uraisi, mdau wa jf una wazo lipi ? chanzo TBC.
Huyu daudi ama?Msalimie Bashite
Kumbe?Huyu daudi ama?
wananchi wengi nchini ufaransa wamesema wangependa raisi mstaafu wa Marekani Obama aende nchini humo kugombea nafasi ya uraisi, mdau wa jf una wazo lipi ? chanzo TBC.