Buseresere
Member
- Feb 17, 2011
- 45
- 21
Hivi kwa nini kila tukio linalofanyika waandishi wa habari huwa tayari wapo.....!? Kweli intelijensia ya media za bongo kiboko, wanajua hadi kile waziri anachokusudia kufanya siku inayofuata tena akikipanga akiwa chumbani mwake....!? Tutaona mengi mwaka huu.
Acheni waandishi wa habari wafanye kazi. Tena ingekuwa bora zaidi kama jerry m. Angekuwepo kwa kipind kama hiki.