kakakuonana JF-Expert Member Jun 19, 2014 338 61 Jul 30, 2018 #1 Habari zenu wana jamvi, naomba kujua kama kuna walimu au wafanyakazi waliopata barua zao za uhamisho kwa majina yaliyotoka july 4.
Habari zenu wana jamvi, naomba kujua kama kuna walimu au wafanyakazi waliopata barua zao za uhamisho kwa majina yaliyotoka july 4.
kakakuonana JF-Expert Member Jun 19, 2014 338 61 Jul 30, 2018 Thread starter #3 Walimu, nimeuliza in general sababu yalitoka ya kada tofauti tofauti.