Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Watumishi wanatukanwa kama mbuzi hakuna hata mmoja wa kusimama na kulaani? waondoke kwanza hawana aibu hata kidogo, 2010 mtu anatamba mishahara ilikuwa 250,000 leo 300,000 ongezeko elfu 50,000 kwa miaka sita? jamaa hana soni hata kidogo