rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Haha, sasa unaanza kuua bendi... Mkuu Magezi usijibu hilo hapa, malizaneni PM.
Mi nadhani maoni ya wengi almost yanafanana, lakini bado la kuhama kutoka kwa mhindi mmoja kwenda kwa mwingine sijaona anayelijibu .
Very interesting kusoma maoni ya watu. Mkuu Wande, hivi wanaopiga juju ni wahindi au wafanyakazi wenyewe kwa wenyewe? LoL
Invisible,
Hili la kuhama kutoka kwa mhindi mmoja kwenda kwa mhindi mwingine linategemea na sababu zenyewe. Kama mtu ni "potential" kwa mhindi huwa wanawa-treat vizuri na wako tayari kukupa mshahara mzuri kabisa. Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anafanyakazi kwa Mansoor Daya Chemicals pale Nyerere road kama mkemia, alikuwa analipwa mshahara mara tano ya wenzie wenye elimu sawa. Kwa mhindi kila mtu ana kitabu chake cha kusaini mshahara hakuna kujua mshahara wa mwenzio. Kwahiyo mtu anaweza kuhama kutoka kwa mhindi mmoja kwa kwa mwingine baada ya kuahidiwa maslahi mazuri na mazingira mazuri ya kazi.
Tatizo kubwa liko kwa watu wenye elimu ndogo wanaofanya kazi ambazo si professional, hawa ndo wananyanyasika zaidi.