Wafanyakazi wa nyumbani wanahitajika

Wafanyakazi wa nyumbani wanahitajika

sic2019

Senior Member
Joined
Oct 14, 2018
Posts
129
Reaction score
82
Tunatafuta wafanyakazi wa nyumbani (kuishi kwa mwajiri) kwa ajili ya kazi maeneo mbalimbali hapa Dar na hata mikoani. Kazi ni kuangalia watoto, usafi na kupika.

Vigezo ni lazima uwe unapenda watoto, msafi na mwaminifu. Mshahara unaanzia laki moja (100,000). Tuma ujumbe tu kwa namba ya simu 0762177935
FB_IMG_1600778746118.jpeg
 
Back
Top Bottom