Wafanyakazi wa mochwari ya Mwananyamala wapasua maiti kuuza madawa ya kulevya waliyoyakuta

hii ni mpya tena au mnarudia hiyo hiyo?
mnajaza server kwa vitu vya kipumbavu,...
 
Kamishna wa polisi Dar Simon Sirro amesema wamekamata watu 4 ambao ni wafanyakazi wa mochwari ya Hospitali ya Mwananyamala kwa kupasua maiti ya raia wa Ghana aliyekutwa amefariki tarehe 14/3/17 Red Carpet Guest House Sinza

Wafanyakazi wa mochwari hiyo walipata taarifa mwili huo una madawa ya kulevya na kuupasua na kuyatoa na kuyauza, wamekiri kufanya hivyo na kutoa kete 32 na polisi walifanya uchunguzi na kumkamta huyo aliyeuziwa na hayo madawa, walimhoji pia na kumkamata aliyemuuzia ambaye anaitwa Ali Nyundo amabaye alitajwa na Makonda kwenye list yake na alipimwa akaonekana ni mtumiaji




Ama kweli binadamu wanakula vingi
 
Back
Top Bottom