Kuna watu hata elfu 2 hawapati,Mheshimiwa waziri wa uchukuzi kila sku anakuja bandarini kuzunguka na kukagua inamaana hili swala tuseme halijui kuwa watu hawana mikataba na hawana vifaa vyakujikinga na pesa wanayolipwa ni 9000,hivi kweli mtu ana professional kabisa unakuta operator au Karani au technician efu inamsaidia kitu gani?hii nchi siasa ni nyingi kuliko kujali masirahi ya wafanyakazi na taifa
Bora wewe, mimi nafanya kazi kwa mama ntilie hapa nalipwa chakula.Sisi huku viwandani kwa wahindi tunalipwa elfu 4 kwa siku.
Bora we, mm nafanya kazi kwa mama ntilie hapa nalipwa chakula.
NdioUmepaza sauti zitawafikia wakubwa hizi kero
Hiyo elfu 10 ni kwa nyie wa masaki labda,ila sisi wa huku Mbagala elfu 3 tu inatutosha mkuu.Ninavyoyajua maisha ya Darisalama, ili uishi kwa amani unahitaji 10,000 kwa siku. Hapo uko nyumbani tu hujatoka. Ukitoka unahitaji nauli hivyo kwa uchache 15,000.
nna rafikia yangu ana diploma ya bandari ni kibarua analipwa 9000 kwa siku na kuingia kazini kwa wiki mara 3 or 2Acha kazi uone kazi kupata kazi wakati hauna kazi