Mheshimiwa waziri wa uchukuzi kila siku anakuja bandarini kuzunguka na kukagua ina maana hili suala tuseme halijui kuwa watu hawana mikataba na hawana vifaa vya kujikinga na pesa wanayolipwa ni 9000?
Hivi kweli mtu ana professional kabisa unakuta operator au Karani au technician elfu inamsaidia kitu gani?
Hii nchi siasa ni nyingi kuliko kujali maslahi ya wafanyakazi na taifa.
Hivi kweli mtu ana professional kabisa unakuta operator au Karani au technician elfu inamsaidia kitu gani?
Hii nchi siasa ni nyingi kuliko kujali maslahi ya wafanyakazi na taifa.