Mimi na Wafanyakazi wenzangu wa EROLINK hasa ambao tupo upande wa Call Center ya TANESCO hatuwekewi stahiki zetu za malipo ya NSSF zetu licha ya kwamba tumekuwa tukikatwa kila mwezi.
Ahadi zimekua nyingi lakini hakuna kinachofanyika, tumekwisha kuongea na Afisa Uhusiano anaeshugulika na mafao na madai lakini naye amekuea hajibu simu wala meseji na kila tukimpigia hapokei simu.
Tunaomba ujumbe huu ufike kwa Viongozi wetu wa Juu wajue tunafanya kazi tukiwa na masononeko kwa kuwa stahiki zetu hazifikishwi na itakapofikia hatua tunaondolewa kazini au kuondoka wenyewe itakuwa ngumu kufuatilia.
Ahadi zimekua nyingi lakini hakuna kinachofanyika, tumekwisha kuongea na Afisa Uhusiano anaeshugulika na mafao na madai lakini naye amekuea hajibu simu wala meseji na kila tukimpigia hapokei simu.
Tunaomba ujumbe huu ufike kwa Viongozi wetu wa Juu wajue tunafanya kazi tukiwa na masononeko kwa kuwa stahiki zetu hazifikishwi na itakapofikia hatua tunaondolewa kazini au kuondoka wenyewe itakuwa ngumu kufuatilia.