Tulipeni hela zetu wezi nyie uzi wako hakuna maana kwetuIla nyie NSSF ni wauni sana kwenye zile bima zenu za afya...wahuni sana.
This is so real and Trueeeeee, Wachache wapenda kunufaika wamebanwa kufabya ubadhilifu wanakimbilia JF kutupa maneno ya uongo