Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
2015 tutalinda kura kwa namna yoyote ile...Piga ua...
2015 tutalinda kura kwa namna yoyote ile...Piga ua...
Serikali inapoteza mapato mengi kwa wafanyabishara wadogo na wakubwa kukwepa kodi. Mimi nadhani ni mwanzo mzuri, wafanyabiashara wanatakiwa wazoee. Kenya, hadi mtu mwenye kibanda cha CHIPS, ana EFD machine. Sina interest hapa ila naomba kusimamam upande wa TRA. Nimeona wafanyabishara wengine wanasema hawataki kulipa na 18% ni kubwa. Kama serikali itajadili kupunguza VAT sawa, lakini watu lazime walipe kodi. Serikali inapata kodi za wafanyakazi wake kwa kukata mishahara yao, sasa ni wakati wa wanyabiashara kupata elimu na kuanza kujua kwamba kodi ni wajibu na wakefeel pinch ya kodi, wataendelea kujifunza taratibu. Mabadiliko haya yana gharama ila lazima serikali iwe na msimamo, hii siyo division 5, inamezeka.
Kwa muda mrefu nimekua nikilisemea sana suala la watanzania wenzangu kuingiza SIASA kwenye kila kitu.
Wanasiasa walipanda vichwani mwetu mbegu hii na sisi tukaipalilia bila kufikiri kwa kina mpaka sasa matunda yake yanatutia upofu.
Tumekua wavivu wa kufikiri wenyewe badala yake tumeacha watu wachache(wanasiasa) watulishe mashudu kwa maslahi yao hivyo kujikuta tukifanya wapendavyo kama ng'ombe.
Nimeangalia habari ITV wafanyabiashara waliopata nafasi ya kuzungumza wamenisikitisha sana.
Wanadai hawazitaki EFDs sababu TRA wanaona kila wanachouza.
Wao ni mfano wa wenzao wengi wenye mawazo ya aina hiyo.
Kabla ya mh.Mkapa kufuta kodi ya maendeleo, watu walitambua wajibu wao wa kulipa kodi. Lakini sasa wafanyabiashara wanaambiwa walipe kadili ya wanavyoingiza wanagoma.
WATANZANIA TUAMKE NA KUANZA KUFIKILIA KWA MAPANA AMA TUTAJA JUTA SIKU ZA USONI.
"A mistake can be corrected at the threshold, carry it on with you and thou shalt suffer bitterly in its destruction"
-M.C
Isije kuwa ni mradi wa wakubwabado upo gizani hujaelewa wanagomea wao ni bei ya machine. 1,000,000/- ni hela nyingi sana kumbuka hiyo machine itawasaidia TRA kukusanya noti nyingi, ni kitendea kazi chao
Kwa nini wasiwe kama TANESCO wanaogawa mita ? Bora ya TANESCO wanakupa umeme TRA waleta nini kwa gharama ya 1M?
ndio uhalisia wenyewe zinahitajika pesa nyingi sana.kampeni zijazo ni ngumu sana.Isije kuwa ni mradi wa wakubwa
Ccm wanaiba kwa wino wa kupigia kura toka china,ndiyo maana serikali haiwakemei wachina hapa tanzania kwa ujangili wa wanyama,madini,misitu wanaofanya
bado upo gizani hujaelewa wanagomea wao ni bei ya machine. 1,000,000/- ni hela nyingi sana kumbuka hiyo machine itawasaidia TRA kukusanya noti nyingi, ni kitendea kazi chao
Kwa nini wasiwe kama TANESCO wanaogawa mita ? Bora ya TANESCO wanakupa umeme TRA waleta nini kwa gharama ya 1M?
Isije kuwa ni mradi wa wakubwa
Dah ni ishu ya kufikiri...... Mfano TRA wakiwapa bure ni rahisi kuiharibu na kusema imeharibika!!! So LABDA aim yao ni kuwabana.....