Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,956
- 32,344
Wanaukumbi.
Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung'ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.
Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine ambayo ni milioni moja mpaka lakini nane.
=======================
UPDATES...19.11.2013
=======================
Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo bado unaendelea maduka bado yamefungwa.
============================================================
UPDATE...9. Jan 2014
============================================================
==============================================
Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)
Wadau wa biashara watakutana na wafanyabiashara nchini ili kutoa marejesho yaliyojadiliwa katika mikutano iliyowakutanisha Jumuiya ya Wafanyabiashara, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa Fedha pamoja na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika leo, utawakutanisha wadau hao ili kutatua changamoto za matumizi ya mashine za kielektroniki kutolea risiti (EFDs) na kuwasihi kuacha migomo. Mshauri na Msemaji wa wafanyabiashara wa Kariakoo, Johnson Minja, aliyasema hayo wakati akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana.
Alisema kuwa katika mkutano huo, ajenda zitakazojadiliwa ni tatu ikiwamo ya kutengeneza Jumuiya ya Wafanyabiashara ambao watawawakilisha wenzao.
Tunataka kuchagua viongozi wapya watakaotutetea kwani waliopo wameshindwa kufanya hivyo, alisema Minja.
SOURCE: NIPASHE
Source: Ritz wa JF
Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung'ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.
Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine ambayo ni milioni moja mpaka lakini nane.
=======================
UPDATES...19.11.2013
=======================
Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo bado unaendelea maduka bado yamefungwa.
============================================================
UPDATE...9. Jan 2014
============================================================
==============================================
Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)
Wadau wa biashara watakutana na wafanyabiashara nchini ili kutoa marejesho yaliyojadiliwa katika mikutano iliyowakutanisha Jumuiya ya Wafanyabiashara, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa Fedha pamoja na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika leo, utawakutanisha wadau hao ili kutatua changamoto za matumizi ya mashine za kielektroniki kutolea risiti (EFDs) na kuwasihi kuacha migomo. Mshauri na Msemaji wa wafanyabiashara wa Kariakoo, Johnson Minja, aliyasema hayo wakati akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana.
Alisema kuwa katika mkutano huo, ajenda zitakazojadiliwa ni tatu ikiwamo ya kutengeneza Jumuiya ya Wafanyabiashara ambao watawawakilisha wenzao.
Tunataka kuchagua viongozi wapya watakaotutetea kwani waliopo wameshindwa kufanya hivyo, alisema Minja.
SOURCE: NIPASHE
Source: Ritz wa JF