OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,626
- 9,173
Hellow wakuu,
Kutokana na ugumu wa ajira vijana wengi waliohitimu vyuo wamekuwa wakitaka kujiajiri.
Mfano mtu anataka kufanya biashara ya bucha, anamfuata mwenye bucha kiroho safi kutaka kupata taarifa sahihi ili na yeye akafungue bucha mkoa mwingine au wilaya nyingine, akaanza kwa kuulizia mtaji wa kuanzia ni kiasi gani?
Taratibu mbalimbali za upatikanaji wa leseni ya biashara n.k, Kijana atajibiwa short short tu au kupewa taarifa nusu makusudi, lakini akija kuanza utekelezaji anagundua kuna mambo mengi alifichwa.
Hata hapa jukwaani wapo watu wengi tu tena wasomi waliojiajiri lakini ukitaka akufunulie kuhusu undani wa biashara anayoofanya ili na wewe ukafungue eneo la mbali(wilaya nyingine) hautapata taarifa yeyote.
NB: Mimi ni shuhuda
Swali: Je, umewahi kukumbana na hali kama hii? Je kwanini wafanyabiashara ni wabinafsi?
Kutokana na ugumu wa ajira vijana wengi waliohitimu vyuo wamekuwa wakitaka kujiajiri.
Mfano mtu anataka kufanya biashara ya bucha, anamfuata mwenye bucha kiroho safi kutaka kupata taarifa sahihi ili na yeye akafungue bucha mkoa mwingine au wilaya nyingine, akaanza kwa kuulizia mtaji wa kuanzia ni kiasi gani?
Taratibu mbalimbali za upatikanaji wa leseni ya biashara n.k, Kijana atajibiwa short short tu au kupewa taarifa nusu makusudi, lakini akija kuanza utekelezaji anagundua kuna mambo mengi alifichwa.
Hata hapa jukwaani wapo watu wengi tu tena wasomi waliojiajiri lakini ukitaka akufunulie kuhusu undani wa biashara anayoofanya ili na wewe ukafungue eneo la mbali(wilaya nyingine) hautapata taarifa yeyote.
NB: Mimi ni shuhuda
Swali: Je, umewahi kukumbana na hali kama hii? Je kwanini wafanyabiashara ni wabinafsi?