Wafanyabiashara Kariakoo hawatoi risiti za EFD, TRA mko wapi?

BekaNurdin

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
2,267
2,041
Heshima kwenu wana JF!
Jana nimeenda Kariakoo kununua kifaa cha computer. Baada ya kulipa pesa nilipodai risiti nikapewa ya kuandikwa na kalamu, nikaikataa. Nilipoikataa wakaanza kukonyezana wao kwa wao, wakaniona nuksi! Nikawaambia isiwe taabu, nirudishieni pesa yangu na kifaa chenu chukueni. Nao bila kusita wakanirejeshea pesa yangu.
Nikaanza kuzunguka maduka mengine nipate kifaa hicho pamoja na risiti halali, duka la pili hola! Duka la tatu hola! Kifaa kipo ila risiti ya kimagumashi. Ile mvua iliyonyesha jana Kariakoo haikuniacha kunitwanga nikijitahidi kuwa mzalendo wa ukweli ili kuiwezesha serikali ipate kodi yake.
Style hii ya ukwepaji kodi inayofanywa na wafanya biashara pale Kariakoo imeandikwa mara nyingi sana hapa JF lakini TRA hawaonekani kuchukua hatua. Kwa nini wasitume maskauti wajifanye wateja kisha wawakamate hao manyang'au? Sasa natambua majipu hapo TRA bado hayajatumbuliwa yote. Mtumbuaji kazi kwako! Nawasilisha hoja!
 
Heshima kwenu wana JF!
Jana nimeenda Kariakoo kununua kifaa cha computer. Baada ya kulipa pesa nilipodai risiti nikapewa ya kuandikwa na kalamu, nikaikataa. Nilipoikataa wakaanza kukonyezana wao kwa wao, wakaniona nuksi! Nikawaambia isiwe taabu, nirudishieni pesa yangu na kifaa chenu chukueni. Nao bila kusita wakanirejeshea pesa yangu.
Nikaanza kuzunguka maduka mengine nipate kifaa hicho pamoja na risiti halali, duka la pili hola! Duka la tatu hola! Kifaa kipo ila risiti ya kimagumashi. Ile mvua iliyonyesha jana Kariakoo haikuniacha kunitwanga nikijitahidi kuwa mzalendo wa ukweli ili kuiwezesha serikali ipate kodi yake.
Style hii ya ukwepaji kodi inayofanywa na wafanya biashara pale Kariakoo imeandikwa mara nyingi sana hapa JF lakini TRA hawaonekani kuchukua hatua. Kwa nini wasitume maskauti wajifanye wateja kisha wawakamate hao manyang'au? Sasa natambua majipu hapo TRA bado hayajatumbuliwa yote. Mtumbuaji kazi kwako! Nawasilisha hoja!
wadau wako huku watalifanyia kazi
 
Unachokisema ni dhahiri. Kariakoo kuna jamaa wana kiburi balaa. Ila inawezekana wanayo network ya kinyang'au na jamaa wa TRA. Papitiwe pale si bure. Ukiwa mzalendo unaweza onekana MCHAWI.
 
Unachokisema ni dhahiri. Kariakoo kuna jamaa wana kiburi balaa. Ila inawezekana wanayo network ya kinyang'au na jamaa wa TRA. Papitiwe pale si bure. Ukiwa mzalendo unaweza onekana MCHAWI.
Duka mojawapo waliniambia kama nataka risiti ya EFD nilipe mara 2 ya bei halali ya kifaa hicho! Naamini siyo bure, kuna watu nyuma yao wanaowatia kiburi!
 
Mbona na wewe hutoi risti ya hiyo biashara yako ya Mombasa? Au unadhani sio biashara?
 
Heshima kwenu wana JF!
Jana nimeenda Kariakoo kununua kifaa cha computer. Baada ya kulipa pesa nilipodai risiti nikapewa ya kuandikwa na kalamu, nikaikataa. Nilipoikataa wakaanza kukonyezana wao kwa wao, wakaniona nuksi! Nikawaambia isiwe taabu, nirudishieni pesa yangu na kifaa chenu chukueni. Nao bila kusita wakanirejeshea pesa yangu.
Nikaanza kuzunguka maduka mengine nipate kifaa hicho pamoja na risiti halali, duka la pili hola! Duka la tatu hola! Kifaa kipo ila risiti ya kimagumashi. Ile mvua iliyonyesha jana Kariakoo haikuniacha kunitwanga nikijitahidi kuwa mzalendo wa ukweli ili kuiwezesha serikali ipate kodi yake.
Style hii ya ukwepaji kodi inayofanywa na wafanya biashara pale Kariakoo imeandikwa mara nyingi sana hapa JF lakini TRA hawaonekani kuchukua hatua. Kwa nini wasitume maskauti wajifanye wateja kisha wawakamate hao manyang'au? Sasa natambua majipu hapo TRA bado hayajatumbuliwa yote. Mtumbuaji kazi kwako! Nawasilisha hoja!


Wewe pia hauna tofauti na hao wafanyabishara, TRA wameshasema kama kuna sehemu yoyote amabpo utaona mtu anakwepa kodi toa taarifa mara moja ni ilikuwa ni swala la wewe kuwajulisha TRA mara moja pmj na duka lenyewe, sasa unapokuja kulia lia humu sisi tufanye nini?

Wewe umefanya nini kusaidia hilo?? TRA ingawaje wanajitahidi lkn bado hawawezi kufanya kila kitu wanahitaji ushirikiano wetu pia, hiyo ulipaswa utoe ripoti TRA!
 
Mkuu sio KARIAKOO pekee..kila mahali wafanyabiashara hawatoi Risiti za moto..
mfano
Buguruni pale wanako uza mbao/vifaa vya ujenzii hawatoi Risit za Moto..ni magumashii tuu
 
Wewe pia hauna tofauti na hao wafanyabishara, TRA wameshasema kama kuna sehemu yoyote amabpo utaona mtu anakwepa kodi toa taarifa mara moja ni ilikuwa ni swala la wewe kuwajulisha TRA mara moja pmj na duka lenyewe, sasa unapokuja kulia lia humu sisi tufanye nini?

Wewe umefanya nini kusaidia hilo?? TRA ingawaje wanajitahidi lkn bado hawawezi kufanya kila kitu wanahitaji ushirikiano wetu pia, hiyo ulipaswa utoe ripoti TRA!
Kwani we hii taarifa hapa huioni? Au ulitaka apite na spika mtaani kwenu? Kwani hujui kama JF hata TRA wapo???
 
Mbona mkuu wa magogoni alinunua soda Mwanza na hakuomba risti ina maana wewe una uchungu kuliko yeye?
 
Wewe pia hauna tofauti na hao wafanyabishara, TRA wameshasema kama kuna sehemu yoyote amabpo utaona mtu anakwepa kodi toa taarifa mara moja ni ilikuwa ni swala la wewe kuwajulisha TRA mara moja pmj na duka lenyewe, sasa unapokuja kulia lia humu sisi tufanye nini?

Wewe umefanya nini kusaidia hilo?? TRA ingawaje wanajitahidi lkn bado hawawezi kufanya kila kitu wanahitaji ushirikiano wetu pia, hiyo ulipaswa utoe ripoti TRA!
Mimi wa Kisiju nitazijulia wapi ofisi za TRA? Njia rahisi kwangu ya kutoa taarifa ndiyo hii. Kama TRA wanapita humu JF nimewapa mbinu ya kuwabaini hao wakwepa kodi.
 
Kwani we hii taarifa hapa huioni? Au ulitaka apite na spika mtaani kwenu? Kwani hujui kama JF hata TRA wapo???


Kuna namba ya moja kwa moja unapiga TRA papo kwa papo! Sasa hii taarifa TRA waende Kariakoo wapi? Lkn kama ukipiga palepale wanatia timu fasta hapo dukani​
 
Kuna namba ya moja kwa moja unapiga TRA papo kwa papo! Sasa hii taarifa TRA waende Kariakoo wapi? Lkn kama ukipiga palepale wanatia timu fasta hapo dukani​
Namba ipi sasa, mbona hujaweka? Ila kwa sasa nimesharudi kijijini!
 
Mimi wa Kisiju nitazijulia wapi ofisi za TRA? Njia rahisi kwangu ya kutoa taarifa ndiyo hii. Kama TRA wanapita humu JF nimewapa mbinu ya kuwabaini hao wakwepa kodi.


Kuna namba ya simu ya TRA kama umeweza kuingia internet na kuandika ujumbe hapa JF pia ungeweza kuwapigia TRA mara moja tendo lilipotokea, vinginevyo ni muendelezo wa kulalamika tu kila mtu analalamika na hakuna anayekwenda hatua moja mbele zaidi, hivyo hakuna tunachokifanya!
 
Kuna namba ya moja kwa moja unapiga TRA papo kwa papo! Sasa hii taarifa TRA waende Kariakoo wapi? Lkn kama ukipiga palepale wanatia timu fasta hapo dukani​
Sasa wameshapewa taarifa ni jukumu lao waifanyie kazi, maswala ya kutaka watafuniwe tu kana kwamba hayo sio majukumu yao watasubiri sanaaa

Hii taarifa imejitosheleza sana
 
Namba ipi sasa, mbona hujaweka? Ila kwa sasa
nimesharudi kijijini!


Wabongo bhana sijui huwa mnapata faida gani kusema uongo, yaani kila kitu ni uongo na kudanganya hata pasipokuwa na ulazima, ona sasa haunijui wala kunifahamu lkn bado unanidanganya ili iweje sasa?

Kwa nini mnapenda kuuishi Uongo????
 
Back
Top Bottom