Wana JF,
Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie wafanyakazi wa ndani wawili.
Wa kwanza aweze kuongea kiingereza, atakua na kazi ya kumlea mtoto tu. Ataishi humo humo. Awe mdada, kama ana mtoto ni a plus. Mshahara ni kuanzia Laki moja ya Tanzania net.
Wa pili awe mdada au mkaka ajue kupika atafanya kazi za ndani kama house boy au house girl. Ataishi humo humo pia. Mshahara ni kuanzia elfu hamsini.
No middle men. Muombaji aombe mwenyewe. Atume ujumbe wa kusema anatafuta kazi kwenye namba 0659 305556 na atapigiwa.
Asanteni.
Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie wafanyakazi wa ndani wawili.
Wa kwanza aweze kuongea kiingereza, atakua na kazi ya kumlea mtoto tu. Ataishi humo humo. Awe mdada, kama ana mtoto ni a plus. Mshahara ni kuanzia Laki moja ya Tanzania net.
Wa pili awe mdada au mkaka ajue kupika atafanya kazi za ndani kama house boy au house girl. Ataishi humo humo pia. Mshahara ni kuanzia elfu hamsini.
No middle men. Muombaji aombe mwenyewe. Atume ujumbe wa kusema anatafuta kazi kwenye namba 0659 305556 na atapigiwa.
Asanteni.