So kwa mada yako ya wachawi unaonyesha wazi unataka tuwe malokole sio? Kwani ulokole ndio njia pekee ya kupambana na uchawi? Na maombi ya usiku wanafanya walokole tuu waislam awafanyi? Achana na izo mambo wewe mwenyewe mchawi tuu ulijuaje siri za uchawi ikiwa vitabu vyote vya mungu amna ata kitabu kimoja kinachosema kuwa njia inayopita mchawi akiwa anapaa ndio njia anayorudia au kuna kitabu gani cha mungu kinasema kuna wachawi wanaotembea na fagio kijiko au ungo? Mrudie mungu wako wewe achana na izo habari mchawi mkubwa wee
Mkuu mimi nimeokoka kitambo tu na nina roho mtakatifu,lakini pia nataka kushare na wewe hii kitu kwamba mtu akiokoka maana yake amekuwa kiumbe kipya na kabla hajaokoka alikuwa mtenda dhambi ndo maana wapo wengi leo hii unawaona walikuwa wachawi,waganga,wazinzi,walevi,n.k lakini waliamua kumpa yesu maisha yao kwhyo hao pia wanakuwa na ushuhuda mwngi wa maisha yao ya nyuma kwhyo hata hicho nlichokiandika najua namaanisha nn so ukiamua kukiamini au usipoamini hiyo ni juu yako maana hakuna sehemu niliyosema nataka watu wawe walokole au nimejaribu kucompare na kitabu chochote cha dini lakini pia nashkuru kwa kuniita mchawi maana biblia imesema atambariki atakayekubariki na atamlaani atakayekulaani ,kwahyo mkuu nakuombea Mungu aimulike neema yake kwako ili injili ya wokovu ikuzukie maana shetani amewaseta wale wote ambao ni wafuasi wake (ambao hawajaokoka) katika gereza lake na amewapofusha fikra ili injili ya yesu kristo isiwazukie.
Good!Hii inajenga zaidi.Hakuna haja ya kuficha kwani ni ushuhuda mwanana na wakujenga.
With al due respect. Mimi sipo hapa kum - cherish mtu, kwa hizo u so call them riwaya. Ingekuwa wanatak ambacho ni provable kingeprovika, otherwise hizo riwaya ukiatak proof zake utapata kwa riwaya pia, na sikutaka kuingia humo, ila kama tungezungumz namimi nikasema kuwa bible ilisema hivi au vile hapo ungeomba proof ya andiko, ila kwa hii case, sikutaka ku urgue.
Ila thnks kwa ushauri ulio nipa utanijenga sana
wewe unaejua funguka kwa unalojua kosoa lete habari sio kuishia njiani! au ndio tayari umechangia.jamani msizungumze mambo ambayo huna taaluma nayo kwakuhubiri ulkole umeweza ilauchawi ni zaid yahayo ulosema ndugu upo uchwi wa aina nyng sana na siwote wanakutana ijumaa kwmye vilnge na hakuna jini anaeitwa khairut na kama ulikua hujui wapo wachaw wanatumi hayo hayo makanisa kktania tena huku kwetu kwasiri lkn hukonjelive na humohutumia hyobible kfnikisha baadh ya shughli zao.mm nina elim yakutosha juu ya hayo mambo na nshafika nchinyngi za ulaya mashriki na afrikamaghrib na ucpnde kkrupuka humu jf hivyo vtu vnawajuz wake sio umekremsha story zakijjni kwnu unakuja kuletamada usioijua hapa
wakikamatwa na supa pawa wanatoa siri zote kinyumena viapo vyao. mana huwa wanaapishwa kutokutoa siri za kichawi. Ndio mana wengine humu wanaishia kupinga bila kufunguka wayajuayo. pia hata mchawi akikamatwaa mtaani katu anakataa.ndio mana hatamisukule yaohukimbiliakukata ulimi ili wasitoe siri endapo wataponyokaHivi haya mambo ya wachawi huwa mnayajuaje? Mtoa mada uliwahi kuwa kwenye tasnia hiyo? Au umewahi kumwona mchawi kwa macho yako na kuona mauzauza yakitokea?
We sho.ga
wewe unaejua funguka kwa unalojua kosoa lete habari sio kuishia njiani! au ndio tayari umechangia.
ulitaka akutongoze... mwambie tu utajua sio kuuliza maswqli. kwani wale wenzio wa Ohio wanaulizaga maswali kwa wateja zao!
hapo umeongea kitu. ila kama anapromot ulokole sio vibaya na wewe ukapromot .somamo wako TUKAELEWA tukajua uzuri wake; enhee ....... tukashawishika tuufuate au laa. hapa ndio pa kufunguka angalao kidogo. mtazamo wangu kuishia kupinga hoja tu bila kuleta uzuri unaoujua;HUJATENDA HAKI sie tunaofuata uzi huu wengine wageni hatujapitia nyuzi zingine. kwa kuwa utakuja baadae MUNGU ATUPE UHAI HADI HAPO. .........unataka nifunguke nn? sikila kitu unataka ukijue hizo nitabia za makahaba wanaojifunza. nmwemambia mwandishi hayuko sahihi sabbu uchambuzi wake umeelemea ktk kuwapapromo walokole nasikuelezea uchawi sababu hata we pamoja na akili zako kuwa fupi unajua kma wachawi wapo kila sehemu duniani je hayo aliyoyasema yamegusa pnde zote au yy nia yake atuaminishe kuwa walokole ndio kiboko yahao wanga aliowatja. MM huwez nikataza nisiseme pnapokesewa etisababu maelezo hayo cjatoa MM hilo kwngu mwiko. Kama nithread za uchawi nadhani zpo nyngi tu wakuu wameshatambaa wakna mzz mkavu tena vzuri tu na mm pia nkpata wasaa. ntaleta uzi huo inshaallah nkimaliza mwezi mtukufu.
tetema yaani kama vile jenereta,,, tetema kama mwizi kakupiga ngeta tetema............Kwanini majini walisikiapo jina la YESU hutetemeka?
Ndiyo umesema kweli, siyo kila jengo lililoandikwa Kanisa ni Kanisa la Kristo.jamani msizungumze mambo ambayo huna taaluma nayo kwakuhubiri ulkole umeweza ilauchawi ni zaid yahayo ulosema ndugu upo uchwi wa aina nyng sana na siwote wanakutana ijumaa kwmye vilnge na hakuna jini anaeitwa khairut na kama ulikua hujui wapo wachaw wanatumi hayo hayo makanisa kktania tena huku kwetu kwasiri lkn hukonjelive na humohutumia hyobible kfnikisha baadh ya shughli zao.mm nina elim yakutosha juu ya hayo mambo na nshafika nchinyngi za ulaya mashriki na afrikamaghrib na ucpnde kkrupuka humu jf hivyo vtu vnawajuz wake sio umekremsha story zakijjni kwnu unakuja kuletamada usioijua hapa
Kuna makanisa ni vilinge vya wachawi. Zambia kanisa Moja mkuu wa kanisa ndie alikuwa mkuu wa wachawi wa Kijiji. Mikutano walifanyia knsn usiku. Hata walisema wenyewe walipodakwa na waganga akiwemo huyo mkuu wa kanisa.Mkuu nimekuelewa lakini nmejaribu kubase kwnye makanisa kwa maana ndio vita yao kubwa iliko sikutaka kubase kwa waislamu na wala sipo kwa ajiri ya promo isipokuwa nipo kwa ajiri ya kushare hii elimu, kwa mfano nkuulize labda ni wapi umeshawahi kuona mchawi kadondokea msikitini au kwnye mkutano wa kiislamu?? jibu ni hapana ndio maana kwa leo sikutaka kubase huko nauandaa uzi mpya wa majini huo ntaelezea kila kitu na nafikiri utajifunza kitu