Wafadhili wa Chadema waingia mitini?

nimeona matangazo yakihamasisha wafuasi na wanachama wa chadema wakihamasishwa kukichangia chama katika kuendesha kampeni siku ya ijumaa saa 2 hadi 4, wakitafuta shilingi shilingi za walalahoi, sasa nakubaliana na maneno ya Nape kuwa wafadhili wa chadema wameingia mitini baada ya kuona ukombozi ni ndoto kupatikana kupitia chama hicho, ni kweli sasa chadema wameishiwa pesa za kumalizia kampeni za arumeru na ushindi kuwa ndoto kwa chama hicho.
ccm_changia_chidi_A5.jpg
Hapa waume zako walikuwa wanaomba nini? aua wafadhili walikimbia?
 
nimeona matangazo yakihamasisha wafuasi na wanachama wa chadema wakihamasishwa kukichangia chama katika kuendesha kampeni siku ya ijumaa saa 2 hadi 4, wakitafuta shilingi shilingi za walalahoi, sasa nakubaliana na maneno ya Nape kuwa wafadhili wa chadema wameingia mitini baada ya kuona ukombozi ni ndoto kupatikana kupitia chama hicho, ni kweli sasa chadema wameishiwa pesa za kumalizia kampeni za arumeru na ushindi kuwa ndoto kwa chama hicho.

Uchangiaji wa gharama za kampeni kuombwa wananchi ni jambo la kawaida, Obama alishaanza toka mwakajana kuomba michango toka kwa kila raia kuchangia kampeni za uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, sembuse Tanzania?

CCM inaiba pesa za walipa kodi ni hivyo kujifanya ndi chama tajiri pamoja na kujimilikisha hazina za taifa
 
this is my favourite post for today

You are very right! Chadema wamefanya vyema kuchangisha pesa kwa wananchi, wasingefanya hivyo tungewauliza nao wanapata pesa wapi za kushindana na CCM inayotumia pesa za walipakodi? Chadema safiiii saaana! Tunataka kupewa fursa ya kuchakingia harakati za ukombozi wa nchi yetu, na natoa wito kwa wanaJF wote wapenzi wa chadema tarehe 23 MARCH mkae kwenye runinga zenu, kwa masaa mawili kuanzia saa 2-4 StarTV ili tuchangie chama chetu live bila kificho! Na fedha zinazochangishwa si kwa ajili ya uchaguzi tu ni kwa ujenzi wa chama pia kwa ujumla wake; maana kuna operation Katiba inakuja hapo mbelezi nchi nzima!
 
Uchangiaji wa gharama za kampeni kuombwa wananchi ni jambo la kawaida, Obama alishaanza toka mwakajana kuomba michango toka kwa kila raia kuchangia kampeni za uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, sembuse Tanzania?

CCM inaiba pesa za walipa kodi ni hivyo kujifanya ndi chama tajiri pamoja na kujimilikisha hazina za taifa

Tunatakiwa tuiudhi CCM kwa kuichangia chadema big time!
 
Chama kinakuwa imara kama kinafadhiliwa na wanachama na wapenzi wake. Kwa mfano JK kaenda enda sana Uingereza siku za hivi karibuni na huenda CCM inafadhiliwa na David Cameron, what if Mr Cameron akaamua kudai ufadhili wake kwa mtindo wa MALI KWA MALI, je nani atapona kiboga hapo magamba???

Kujitegemea ni nadharia ambayo ni ngumu sana kueleweka kwa CUF na CCM kwa kuwa mnapenda sana dezo
 
Nape alisema katika mkutano wa udiwani kata ya chang'ombe kuwa viongozi wa chadema wameanza kuondoka arumeru baada ya kuishiwa pesa za kampeni, baada ya wafadhili kutoa nje, na ni majuzi tu slaa alikuwa nje, sabodo amekaa kimya na uelewe ndugu katika vyama hakuna siri isiyovuja.
 
nimeona matangazo yakihamasisha wafuasi na wanachama wa chadema wakihamasishwa kukichangia chama katika kuendesha kampeni siku ya ijumaa saa 2 hadi 4, wakitafuta shilingi shilingi za walalahoi, sasa nakubaliana na maneno ya Nape kuwa wafadhili wa chadema wameingia mitini baada ya kuona ukombozi ni ndoto kupatikana kupitia chama hicho, ni kweli sasa chadema wameishiwa pesa za kumalizia kampeni za arumeru na ushindi kuwa ndoto kwa chama hicho.
RIP CUF....sisi wananchi tulikupenda sana,lakini Mungu amekupenda zaidi na akaamua kukuita kimoja.
Bwana alitwaa na bwana ametwaa....jina la bwana liabudiwe daima.
 
Nape alisema katika mkutano wa udiwani kata ya chang'ombe kuwa viongozi wa chadema wameanza kuondoka arumeru baada ya kuishiwa pesa za kampeni, baada ya wafadhili kutoa nje, na ni majuzi tu slaa alikuwa nje, sabodo amekaa kimya na uelewe ndugu katika vyama hakuna siri isiyovuja.

Duh.. Nape ndo kasema..? Halafu masuala ya maana yanayohusu watu ndo mnakuwa na kampeni mbovu hivi..? Hivi kama unasimama kumnadi mgombea halafu badala ya kusema mtawasaidia vpi au sera zenu ziko vpi.. mnakazana kumsema mtu au chama.. tena chama ambacho hakiko madarakani..! Hitimisho lote hili maana yake ni kufilisika sera.. Siasa uchwara hizi.. Halafu haipendezi toka kwa chama tawala..
 
Back
Top Bottom