Waekezaji watembelea jiji la Arusha

Waekezaji watembelea jiji la Arusha

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2016
Posts
757
Reaction score
1,822
Jiji letu nimepokea ugeni mkubwa kutoka China mji wa BENXI,ambao ni group la wawekezaji wa sector ya viwanda ,Madini na Utalii.Baada ya mazungumzo ya muda marefu tulibadilisha Investor's Guide Books za miji hizi mbili.Pengine ni muda muafaka kwa wafanyabiashara kuchangamkia fursa hii adimu.Pia nimepata mwaliko wa kusafiri na wafanyabiashara 10 wa Arusha kufanya mazungumzo China mwezi Januari 2018.Walio tayari kuchukua fursa hii ,ofisi yetu ya uwekezaji jiji itaratibu safari. Xmass Njema
9c34c572886eb3d894a2245d3ebc58ce.jpg
0852e50b59632c151b943c30475b3894.jpg
39be647f4a1e8984ae46d756582d34df.jpg
 
Hii taarifa sio mzuri kwa yule baba na vijakazi wke kutwa kusema uwongo,toka 2015 dec mpka 2017 dec eti wamejenga viwanda 3000 [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom