Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 757
- 1,822
Jiji letu nimepokea ugeni mkubwa kutoka China mji wa BENXI,ambao ni group la wawekezaji wa sector ya viwanda ,Madini na Utalii.Baada ya mazungumzo ya muda marefu tulibadilisha Investor's Guide Books za miji hizi mbili.Pengine ni muda muafaka kwa wafanyabiashara kuchangamkia fursa hii adimu.Pia nimepata mwaliko wa kusafiri na wafanyabiashara 10 wa Arusha kufanya mazungumzo China mwezi Januari 2018.Walio tayari kuchukua fursa hii ,ofisi yetu ya uwekezaji jiji itaratibu safari. Xmass Njema