Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,863
- 10,342
hilo dude liliwahi kuning'ata,aisee sumu yake ni balaa
hilo dude liliwahi kuning'ata,aisee sumu yake ni balaa
hilo dude liliwahi kuning'ata,aisee sumu yake ni balaa
Hana mbawa ndefu kama kuku vifaranga dumeIla umejuaje?😂
Nikuulize wewe maiti unaetembea.... maana hujui kumwelekeza mtu mpaka umkebehiMjusi ni mdudu?shule mlienda kusomea ujinga??
Kitu tunachotakiwa kushukuru sana, ni kwamba wadudu ni wadogo. Wangekua ni wakubwa size kama ya ng'ombe hivi au zaidi, tungekua tumekwisha!Nimejifunza kitu🙏🏿
Ni hatari sanaKitu tunachotakiwa kushukuru sana, ni kwamba wadudu ni wadogo. Wangekua ni wakubwa size kama ya ng'ombe hivi au zaidi, tungekua tumekwisha!
Hebu cheki sura ya sisimizi
View attachment 3300487
Ni hatari sanaKitu tunachotakiwa kushukuru sana, ni kwamba wadudu ni wadogo. Wangekua ni wakubwa size kama ya ng'ombe hivi au zaidi, tungekua tumekwisha!
Hebu cheki sura ya sisimizi
View attachment 3300487
Mno mkuu. Tungekua tunaisho maisha magumu sana hapa dunianiNi hatari sana
Umeanza na kicheko na kumaliza na kicheko hivyo inaashiria nilichosema ni sahihi ila umeamu kupindisha maneno kumlindaHahahhahaa almost miaka 15 yangu hapa JF na kumjua kaka mkubwa sijaona element hizo hahahhahaa
Unaweza kufa ila liking'ata zakari ni bonge la viagra
Anatisha .. Ndio maana wanaitwa Majitu Madogo ya Sayari Yetu!"Kitu tunachotakiwa kushukuru sana, ni kwamba wadudu ni wadogo. Wangekua ni wakubwa size kama ya ng'ombe hivi au zaidi, tungekua tumekwisha!
Hebu cheki sura ya sisimizi
View attachment 3300487
Hapa umenikumbusha kuna wadudu flani tulikuw tunawaita "Maringiro" au "iringiro" tulikuwa tunawavizia wakiwa wanajamiiana tunawashika tunawafunga na kamba na karatasi yenye ujumbe "Nakupenda sana Anna popote ulipo"😅 kisha namwachia anapaa na hiyo karatasi