Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,657
baba yuko wapi?
Namsubiri ajifunWacha uji.nga😂 Dogo mtoto wako miaka 18 ni mwanaume?
Mtoto gani huyo hajui kupika? Akiishi mwenyewe itakuwaje?
Ila watu wana Raha unabeba mimba inaenda kuilelea kwenu? Mama alishasema kati yetu MTU akibeba mimba kuilea ni huko huko.
Sasa huyo mpuuzi hata kupika hawezi soon atazalia hapo, huyo atafua mikojo ya mwanae? Huu upuuzi ni malezi mabovu
Sijamaanisha hvyo, na mimi sili home kuanzia j3 ad jmos na nikiwah kurudi kama hakujapikwa napika vizuri tu na asbh nafanya chchte kabla sijaondoka. Nisichopenda ni flani awe beki tatu kwa flani ningependa tufanye tufanye tu kwasbb ni kwetu sote, btw neno langu sio sheria watii ya wazazi tu.Mkuu, kwani bi mkubwa yupo humu
Pengine hata wadogo zako wanalalamika, hivi ukiwa dada ndio unaondoka asubuhi na kurudi usiku halafu ukute chakula kwani wao ni mabeki tatu wako
All in all, naona kuna shida ya kimalezi hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaishi mkoa mwengnebaba yuko wapi?
Ina maana hawamuheshimu mama yakoNamsubiri ajifun
Sijamaanisha hvyo, na mimi sili home kuanzia j3 ad jmos na nikiwah kurudi kama hakujapikwa napika vizuri tu na asbh nafanya chchte kabla sijaondoka. Nisichopenda ni flani awe beki tatu kwa flani ningependa tufanye tufanye tu kwasbb ni kwetu sote, btw neno langu sio sheria watii ya wazazi tu.
We hama tu, yatanyooka mbele kwa mbele. Huo ni uoga wa maisha, kikubwa godoro. Mengine utajipanga juu kwa juu.Mambo yangu hayaja nyooka bado,
Wamama wengi na wabaguzi hata kama baba ni mmojaMkuu watoto wote mmeshare baba au wewe baba yako tofauti? Manake kuna wamama makosa ya baba unayabeba mtoto. Anyways kuna shida kubwa ya malezi hapo kwenu.
mimi ndo wa kwanza mkuu
Baba mmoja mkuu, baba ana mahaba na mimi na mama ana mahaba na waoo. Na akija Mzee hata maji ya kuoga namuwekea mimi hadi nishazoea tu(usije kutafsri vby, Mzee wangu mgonjwa kdg alipata stroke, na ugomv na bmkubwa hauishi kila leo sbb siwez kuzingumza, kwahyo wakizozana kdg tu bimkubwa hamfanyii chchte)Mkuu watoto wote mmeshare baba au wewe baba yako tofauti? Manake kuna wamama makosa ya baba unayabeba mtoto. Anyways kuna shida kubwa ya malezi hapo kwenu.
Hayo mambo ya kizamani,Mimi nilikuwa hone naosha vyombo,nadeki hadi kupika kipindi niko home,ishu kusaidiana na sio mambo ya jinsiaJapo sishauri tabia yake ya kushinda na simu kutwa, ila swala la mwanaume kudeki chooni au kuosha vyombo wakati wanawake wapo siafiki!
Mwanaume ni mwanaume tu hata awe na umri wa miaka 5
Duh pole hapo mama ndio tatizo ila mkuu sio mbaya Vumilia ukiwa Sawa kiuchumi hama hapo home.Baba mmoja mkuu, baba ana mahaba na mimi na mama ana mahaba na waoo. Na akija Mzee hata maji ya kuoga namuwekea mimi hadi nishazoea tu(usije kutafsri vby, Mzee wangu mgonjwa kdg alipata stroke, na ugomv na bmkubwa hauishi kila leo sbb siwez kuzingumza, kwahyo wakizozana kdg tu bimkubwa hamfanyii chchte)
Mwanaume wa aina yako kwanza ni wasafi wale wanao fikilia kazi ni kwa ajili ya wanawake tu ukienda kwenye nyumba zao unaweza kuishia mlangoni jinsi kunavyotoa harufu.Hayo mambo ya kizamani,Mimi nilikuwa hone naosha vyombo,nadeki hadi kupika kipindi niko home,ishu kusaidiana na sio mambo ya jinsia