Wadoeaji muwe na heshima

mkuu acha tu kuna wanawake sku hizi n balaa,. Nilitegeshwa mimba hyo halafu ukoo wao mzma ukaandaman kuja eti lazma nimuoe mtoto wao.

Yaan kuna wanawake baadhi hawatumii hata akili ya kawaida

ikawaje malizia story
 
Polee sana nakushauli nenda kwenye kioo zen utakacho kiona basi huyo ndo adui yako.
 
hajapewa mbunye, ile anaanza kunizoea zoea nilikuwa na hamu sana, ila sikumtega hata kidogo, ndo kilichosidiana yeye haoneshi kama anataka mbunye, ,

sasa mda ulivyoenda na tabia zake mbofumbofu hata nimejikuta ananikera kupita maelezo

marrykate Nina wasiwasi hiyo hamu ndio inakifanya uwe restless, you loved the dude long ago...mmekutana na jamaa haonyeshi kutaka mbunye, Nina uhakika angekupa dushe la uhakika wala usingekuja ku complain. Stress za kumiss dushe nazo mbaya ujue.
 
Last edited by a moderator:
Bibie mbona unaitaja taja ndoa hata mahali isiyohusika?
 

Ha ha ha ha ha jamaa nimemkubali Ni mtambo wanawake wa miaka hii wana deserve kupata wanaume design hiyo
 
marrykate Nina wasiwasi hiyo hamu ndio inakifanya uwe restless, you loved the dude long ago...mmekutana na jamaa haonyeshi kutaka mbunye, Nina uhakika angekupa dushe la uhakika wala usingekuja ku complain. Stress za kumiss dushe nazo mbaya ujue.

stress za namna hio mbaya sana mkuu naunga mkono hoja
 
Last edited by a moderator:
Eti dada, kwenu wanafahamu kama ishaanza kuishi na mwanaume geto kwako?

Hahahaa...... czn kama wanajua ndo maana anampelekesha na hawajaingilia katiiii... dada ana moyo
 

Kip it up dear
 
Duh!!!! Yaani pamoja na yote haya bado upo naye!! :nono::nono::nono:....Weye una moyo sana!!! Muombe ahamie kabisa.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…