Wadoeaji muwe na heshima

Wadoeaji muwe na heshima

Naona wanawake nao wameanza kuingiza mwanaume gheto ili waolewe....haya sasa!!
 
Naona anabania maelezo hahahaaaa!!

atoe data kamili wewe unaenda hospitali unasema unaumwa kipi kinakuuma ndio upewe dozi hapa mpaka ajibu la sivyo anipe mimi anachotaka au anachompa huyo jamaa
 
weee hata iweje hujaja kujitanua kwanga hvyoo kama niwapenz uje tu upajue basi ntajupikia kama mgeni siku hyo sio kufanya kwako umenioa? mambo mengine mnayaendekeza
 
yaani mtu atatawalaje kwajo namna hiyo
MIMI MWANAUME ALALI KWANGU,akila kwangu basi ni mshikaji kitambo sana

jamani kumpikia kumfulia ni sawa na kumpa maziwa alafu utegemee siku moja atafuga ngombe hell noooooooooooooooooooo

HAPO UOLEWI NGOOOO ACHA KUJIRAHISISHA
 
Eti dada, kwenu wanafahamu kama ishaanza kuishi na mwanaume geto kwako?
 
Bwana we si nikatokea kumpenda mkaka mmoja hapa ofisini, muda mrefu tu umepita, sema kila nikijipendekeza alikuwa haelewei somo, basi nikaamua kuacha na hizo mambo za kumuwinda winda kila mara, miaka miwili ikapita ghafla na yeye akaanza kujiweka karibu na mimi, kwa vile nampenda sana sikuweza kuresist basi nikarespond nikamchukulia kama rafiki wa karibu tu sio mpenzi.

Sasa katika mazoea haya ya urafiki mwenzangu sijui anahisi yupo na mke wake, kila siku anataka apate chakula cha jioni kwangu, basi nitajipikilisha wee jamaa anakuja anakula anasepa, huyu jamaa anapenda vyakula vya kuchemsha tu, visiungwe hata, na mimi napenda kukaanga ile mbaya,akaanza visa akikuta tumepika chakula asichopenda matusi yatamtoka huyo utafikiri alitoa hela halafu nikanunua vitu vingine.

Kujifanya kuimiliki nyumba utafikiri anajua hata kodi ya nyumba ni sh ngapi, akifika home basi itabidi muangalie vipindi anavyotaka yeye tu, maongezi yawe anayotaka yeye tu, feni izimwe.

Nimemwambia mara kadhaa kuwa yupo selfish sana anaona kama namtania vile nimfanyeje huyu mtu jamani?

uzuri si amekuzibua? Au kwa lugha rahisi amonja utamu wako?

Vumilia tu ile jeuri yako huna tena
 
Naona wanawake nao wameanza kuingiza mwanaume gheto ili waolewe....haya sasa!!

mkuu acha tu kuna wanawake sku hizi n balaa,. Nilitegeshwa mimba hyo halafu ukoo wao mzma ukaandaman kuja eti lazma nimuoe mtoto wao.

Yaan kuna wanawake baadhi hawatumii hata akili ya kawaida
 
mkuu acha tu kuna wanawake sku hizi n balaa,. Nilitegeshwa mimba hyo halafu ukoo wao mzma ukaandaman kuja eti lazma nimuoe mtoto wao.

Yaan kuna wanawake baadhi hawatumii hata akili ya kawaida

naona haki sawa inakuja kwa kasi..
 
mbunye kashaiona maana hujatuambia hapo

hajapewa mbunye, ile anaanza kunizoea zoea nilikuwa na hamu sana, ila sikumtega hata kidogo, ndo kilichosidiana yeye haoneshi kama anataka mbunye, ,

sasa mda ulivyoenda na tabia zake mbofumbofu hata nimejikuta ananikera kupita maelezo
 
mkuu acha tu kuna wanawake sku hizi n balaa,. Nilitegeshwa mimba hyo halafu ukoo wao mzma ukaandaman kuja eti lazma nimuoe mtoto wao.

Yaan kuna wanawake baadhi hawatumii hata akili ya kawaida
ulitegeshewa mimba au papuchi?
 
aaah tuko jamani mrahisi ki vip tena, kwa hiyo alivyoamua kuwa karibu na mimi ningempotea tu? sio wapenzi kumbuka

Mrahisi kwa sababu dalili zote zinaonyesha huyu mtu hamuendani, sio kimapenzi tu bali hata kiurafiki wa kawaida. Sasa ya nini unaendelea kumuendekeza...
 
yaani mtu atatawalaje kwajo namna hiyo
MIMI MWANAUME ALALI KWANGU,akila kwangu basi ni mshikaji kitambo sana

jamani kumpikia kumfulia ni sawa na kumpa maziwa alafu utegemee siku moja atafuga ngombe hell noooooooooooooooooooo

HAPO UOLEWI NGOOOO ACHA KUJIRAHISISHA

anakula tu, anaishi kwake sijawahi hata kufika,nilimchukulia kama rafiki wa kawaida tu, anaekuja nyumbani mnapika mnakula, mara ndo hivyo akaanza na matusi tukipika chakula asichopenda, kuna siku hakuja kazini basi mie wala sikumtafuta kwenye simu ghafla jioni huyo nyumbani anaanza kugomba kwa nini sikumpigia aje kula, lol nilibaki nimeshangaa tu, hivi anahisi mi ni nani kwake mpaka anigombeze eti sijampigia simu
 
hajapewa mbunye, ile anaanza kunizoea zoea nilikuwa na hamu sana, ila sikumtega hata kidogo, ndo kilichosidiana yeye haoneshi kama anataka mbunye, ,

sasa mda ulivyoenda na tabia zake mbofumbofu hata nimejikuta ananikera kupita maelezo

kumbe anataka chakula tu basi ---- huyo jamaa mchana nae labda ngapu
 
Nduo maana nikakwambia jithathmini


Haiwezekani from nowhere mtu ageuze nyumbani kwako hoteli

Na masharti juu

Na matusi kibwena

Una tatizo

Nani anayatawala maisha yako?

Wewe au watu wengine????





anakula tu, anaishi kwake sijawahi hata kufika,nilimchukulia kama rafiki wa kawaida tu, anaekuja nyumbani mnapika mnakula, mara ndo hivyo akaanza na matusi tukipika chakula asichopenda, kuna siku hakuja kazini basi mie wala sikumtafuta kwenye simu ghafla jioni huyo nyumbani anaanza kugomba kwa nini sikumpigia aje kula, lol nilibaki nimeshangaa tu, hivi anahisi mi ni nani kwake mpaka anigombeze eti sijampigia simu
 
Back
Top Bottom