bwana weee si nikatokea kumpenda mkaka mmoja hapa ofisi, mda mrefu tu umepita, sema kila nikijipendekeza alikuwa haelewei somo , basi nikamua kuacha na hizo mambo za kumuwinda winda kila mara, miaka miwili ikapita ghafla na yeye akaanza kujiweka karibu na mimi, kwa vile nampenda sna sikuweza kuresist basi nikarespond nikamchulia kama rafiki wa karibu tu sio mpz lakini, sasa katika mazoea haya ya urafiki mwenzangu sijui anahisi yupo na mke wake, kila siku anataka apate chakula cha jioni kwangu, basi nitajipikilisha wee jamaa anakuja anakula asepa, huyu jamaa anapenda vyakula vya kuchemsha tu, visiungwe hata, na mimi napenda kukaanga ile mbaya,akaanza visa akikuta tumepika chakula asichopend matusi yatamtoka huyo utafikiri alitoa hela halafu nikanunua vitu vingine, kujifanya kuimiliki nyumba utafikili anajua hata kodi ya nyumba ni sh ngapi,akifika home basi itabidi muangalie vipindi anavyotaka yeye tu, maongezi yawe anayotaka yeye tu, femi izimwe.nimemwambia mara kadhaa kuwa yupo selfish sana anaona kama namtani vile nimfanyeje huyu mtu jamani?
Fukuzia mbali........nini hiyo sasa.........
mbunye kashaiona maana hujatuambia hapo
Bwana weee si nikatokea kumpenda mkaka mmoja hapa ofisini, mda mrefu tu umepita, sema kila nikijipendekeza alikuwa haelewei somo, basi nikamua kuacha na hizo mambo za kumuwinda winda kila mara, miaka miwili ikapita ghafla na yeye akaanza kujiweka karibu na mimi, kwa vile nampenda sana sikuweza kuresist basi nikarespond nikamchulia kama rafiki wa karibu tu sio mpenzi.
Sasa katika mazoea haya ya urafiki mwenzangu sijui anahisi yupo na mke wake, kila siku anataka apate chakula cha jioni kwangu, basi nitajipikilisha wee jamaa anakuja anakula asepa, huyu jamaa anapenda vyakula vya kuchemsha tu, visiungwe hata, na mimi napenda kukaanga ile mbaya,akaanza visa akikuta tumepika chakula asichopend matusi yatamtoka huyo utafikiri alitoa hela halafu nikanunua vitu vingine.
Kujifanya kuimiliki nyumba utafikili anajua hata kodi ya nyumba ni sh ngapi, akifika home basi itabidi muangalie vipindi anavyotaka yeye tu, maongezi yawe anayotaka yeye tu, feni izimwe.
Nimemwambia mara kadhaa kuwa yupo selfish sana anaona kama namtania vile nimfanyeje huyu mtu jamani?
Mkuu km kusoma hujui hata picha huoni?
Kashaliwa huyo tayari
Hebu timua aache kichefu chefu lol....
Umeamini hawavuani?Umesema sio mpenzi wako anakupaje commands za kumpikia anachotaka?? Aoe basi kwanza
Umeamini hawavuani?
mbunye kashaiona maana hujatuambia hapo