Akikujibu nistue na mm mkuuNifafanulie kidogo niijalibu kama hutojali
Safi sana.strategy ya BTMM!
Nifafanulie kidogo niijalibu kama hutojali
Fanya ivo trader nasi tupate mwangaMkuu nimekuandikia tu kirefu chake...hyo strategy huwa siitumii...ilinishindaga..kwa sasa muongozo wangu ni candlestick trading bible...nilishajaribu strategy nyingi sana..indicators kibao...they never worked...ngoja nitaweka hapa trading plan nilitengenezaga....ukiweza kuifuata itabadilisha maisha yako.
sawaMkuu nimekuandikia tu kirefu chake...hyo strategy huwa siitumii...ilinishindaga..kwa sasa muongozo wangu ni candlestick trading bible...nilishajaribu strategy nyingi sana..indicators kibao...they never worked...ngoja nitaweka hapa trading plan nilitengenezaga....ukiweza kuifuata itabadilisha maisha yako.
Mkuu nimekuandikia tu kirefu chake...hyo strategy huwa siitumii...ilinishindaga..kwa sasa muongozo wangu ni candlestick trading bible...nilishajaribu strategy nyingi sana..indicators kibao...they never worked...ngoja nitaweka hapa trading plan nilitengenezaga....ukiweza kuifuata itabadilisha maisha yako.
Mbona mimi siioni😶Hyo hapo (10% daily profit challenge) nimeweka kianzio $100 ila unaweza kuanza kiasi chochote..nenda kwenye month one sheet mwanzo weka kiasi chochote itacalculate daily/weekly/monthly profit automatically....cha msingi hapa ni discipline...kwa mfano labda ukitengeneza weekly profit kwa siku moja....basi siku nne zilizosalia usiforce trades....tafuta tena setup nzuri hata kwa siku zote nne....ukipata loss dont revenge.... it has never worked and it will never....kaa mbali na charts for a while..
discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline
najaribu kuattach spread sheet inakataa......(The uploaded file does not have an allowed extension) hata sijui kwa nn tu.Mbona mimi siioni😶
Unamaanisha umejiwekea kiasi cha profit kwa siku, but unatumia strategy ipi kupata iyo 10%Hyo hapo (10% daily profit challenge) nimeweka kianzio $100 ila unaweza kuanza kiasi chochote..nenda kwenye month one sheet mwanzo weka kiasi chochote itacalculate daily/weekly/monthly profit automatically....cha msingi hapa ni discipline...kwa mfano labda ukitengeneza weekly profit kwa siku moja....basi siku nne zilizosalia usiforce trades....tafuta tena setup nzuri hata kwa siku zote nne....ukipata loss dont revenge.... it has never worked and it will never....kaa mbali na charts for a while..
discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline
najaribu kuattach spread sheet inakataa......(The uploaded file does not have an allowed extension) hata sijui kwa nn tu....
Mwl.RCT msaada wako hapa tafadhali
mkuu ndo maana nimekutumia candlestick trading bible...ushauri wangu...futa kichwani kila kitu unachokijua kuhusu forex trading..then soma candlestick trading bible kwa utulivu...kila kitu utakipata huko..Unamaanisha umejiwekea kiasi cha profit kwa siku, but unatumia strategy ipi kupata iyo 10%
Unaweka stop loss na take profit?Sa hv mi ninakasterateji kangu kanaitwa the ten pips starategy yaani teget yangu ni pips kumi tuu nanyanyuka mtaji $100 lot size 0.10 profit 10$ nakaa pembeni
Dahhhbiashara ni kuuza na kununua.
Kwenye forex unauza nini na una nunua nini?
Nadhani hapo SL and TP anaipata kwa kutumia hiyo 21 Moving Average, maana amesema ndo hutumia as a dynamic Support & ResistanceUnaweka stop loss na take profit?
Sawa hayo ni maoni yakoForex ni mitandao ya kishetani tu hio
Fanya kazi jitume usiangalie watu wanakuangaliaje
Watanzania tunapenda usharobaro sana
Tembeza vitu uza kwa juhudi tafuta kazi ata
Beba ata tofali if possible ACHENI kupenda mafanikio ya haraka fanya kazi kwa bidii
NARUDIA BIDII NA ULINZI WA MUNGU VINATOSHA SANA
Achana na ujinga huo wezi tu hao
We ulidhani forex huwa wanauza tu.biashara ni kuuza na kununua.
Kwenye forex unauza nini na una nunua nini?
Ataelewa tu,Dahhh
Bado tu unakaza fuvu
Akili ndogo haiwezi fanya vitu vikubwa, endelea kubeba tofaliForex ni mitandao ya kishetani tu hio
Fanya kazi jitume usiangalie watu wanakuangaliaje
Watanzania tunapenda usharobaro sana
Tembeza vitu uza kwa juhudi tafuta kazi ata
Beba ata tofali if possible ACHENI kupenda mafanikio ya haraka fanya kazi kwa bidii
NARUDIA BIDII NA ULINZI WA MUNGU VINATOSHA SANA
Achana na ujinga huo wezi tu hao
Halafu naona kila anaekuja kuhusu forex ni kulia amepigwa,amepigwa. Hakuna anaerudisha mrejesho wa kupiga hela huko. Kama ni hivyo kwa nini msiachane na hilo dude?