wadau wa volleyball

najua

JF-Expert Member
Nov 21, 2011
224
54
kwa wale wenye timu za volleyball itakuwa poa kaama tukialikana kwa ajili ya mashindano itakuwa poa sana maana tutakuza mchezo.mimi nachezea timu moja ipo tegeta dar. sio mbaya tukiorganise mechi ya kirafiki kwa wale wenye timu
 
Back
Top Bottom