Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,351
- 3,295
Ya mwaka gani hiyo Royal Rumble??Naangalia royal rumble Rey Mysterio “wajina” versus Andrade. Mysterio hajawahi kutokea duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya mwaka gani hiyo Royal Rumble??Naangalia royal rumble Rey Mysterio “wajina” versus Andrade. Mysterio hajawahi kutokea duniani
Kila mtu anamdharau Finn balor ila mimi na familia yangu we will walk with him!......ushindi upo upande wetu!Write your reply...nasubiri mazishi ya Balor jaman
i believe in David!.........Chief kumbuka kuwa Lesnar sio Entertaining Wrestler, so usitegemee kuona zile slingblade na Suicide dive za Finn
Sent using Jamii Forums mobile app
Lex luger,chriss benoit.Dah kweli WWE ilikuwa zaman
Kutana na mzee wa ndevu nyeupe-Hulk Hogan,Boker T, D generation X-Shawn Michaels na HHH,Cut angle, Cutting Edge,The Hardis-Jeff na Matt,the undertaker,big show,omaga(rip),Kane,Bobby lashley(nlimkubali sana huyu jamaa),aloo kale ni kale.
Kutana na Mzee wa misifa McMahon.
Hapa ndo ilikuwa wwe kweliLex luger,chriss benoit.
Benoit alikuwa mbishi haswaHapa ndo ilikuwa wwe kweli
Ile finishing yake tu ni balaakwa sasa Seth yupo kwenye performance ya ajabu sana yaani inavutia kuongalia mechi zake......BURN IT DOWNNNNNNNNNNNN
Kiongozi unena vyema kabisa kwa kweli sijapenda hili pambano na halina mvuto.the beast atamua huyo mtoto mapema sana.hizo sarakasi zake zimefika mwishoKweli Royal Rumble imepoteza mvuto, yaan hakuna kabisa wa kupigana na Lesnar!!!! Hugo fin ballor hata Seth Rollins bado hajamweza Leo ukamweke na Lesnar Kweli!!!! Duuh afadhali nimerudi zangu kwenye mpira, Arsenal jiandaeni kutupisha hiyo nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
i waiting this for years!.....ndoto yangu imetimia sasa!!View attachment 994675
Leo mkuu umeongea point.popote ulipo agiza bia bill juu yanguVince Mcmahon kazingua, ni bora angemuacha Strowman apambane na Lesnar...
Sidhani kama Finn ataweza kuvumilia hata Suplex 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ww tunajua una mahaba na finn.ila andaeni msiba maana suplex city na f5 pigo hatari wwe nzima litamuua huyu dogoWatu wanamuunderestimate finn balor but for me i will walk with him!
Hata haivutii, bora hata ya Lesnar na Lile kubwa jinga Roman Reigns kidogo ilivutia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu anamdharau Finn balor ila mimi na familia yangu we will walk with him!......ushindi upo upande wetu!
Yatakua pale newyork nahisiWrite your reply...nasubiri mazishi ya Balor jaman