Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Kama ingekuwa ni fake na staged kusingekuwa na wachezaji mieleka wanaoumia kila mwaka!.....Kuna wachezaji kibao wapo kwenye matibabu sasa hivi kutokana na kuumia kama vile akina Jason Jordan,Sami Zayn e.t.c hata akina Ambrose na wengineo wamerejea tu juzi juzi kutoka kwenye matibabu ya mwaka mzima!
Chief hapa napingana na wewe kidogo....

Matukio fake yapo mengi sana..

Kwa mfano;

SUICIDE DIVE.. Mara nyingi hii style anayeruka ni lazima adakwe na ni marufuku kumkwepa

REST IN PEACE BY UNDERTAKER..
Hii style inaonyesha kuwa Undertaker anabana kichwa cha mtu then anakibamiza chini but uhalisia ni kuwa kile kichwa huwa hakifiki chini..

Fake Scene zipo nyingi sana mkuu
 
Huwa wanaenda mafunzo ya kujifunza mapigo yasiyo ua na kuumizana!....Kwa mfano zile spear za Roman reign haruhusiwi kupiga spear kwa kutumia kichwa!!....Mchunguze vizuri Roman reign anavyopiga spear utagundua kuwa hatumii kichwa bali anatumia bega au mkono kwa sababu akitumia kichwa atavunja mtu mbavu au internal organ na hatimae ataua!!
Sawa na ile spear kakopi ya Goldberg mnyama na ile ya Randy Orton vipi mana huwa naiona kama hatar hivi
 
Chief hapa napingana na wewe kidogo....

Matukio fake yapo mengi sana..

Kwa mfano;

SUICIDE DIVE.. Mara nyingi hii style anayeruka ni lazima adakwe na ni marufuku kumkwepa

REST IN PEACE BY UNDERTAKER..
Hii style inaonyesha kuwa Undertaker anabana kichwa cha mtu then anakibamiza chini but uhalisia ni kuwa kile kichwa huwa hakifiki chini..

Fake Scene zipo nyingi sana mkuu
Kwa kifupi kabisa hayo yote siyo fake bali wanachofanya ni kupiga mapigo yasiyoua wala kusababisha ukilema!....Wacheza mieleka wote huwa wanaenda mafunzo ya kujifunza mapigo yasiyoua wala kusababisha ukilema kwa sababu ule ni mchezo na siyo vita ya kuuana!
 
Chief hapa napingana na wewe kidogo....

Matukio fake yapo mengi sana..

Kwa mfano;

SUICIDE DIVE.. Mara nyingi hii style anayeruka ni lazima adakwe na ni marufuku kumkwepa

REST IN PEACE BY UNDERTAKER..
Hii style inaonyesha kuwa Undertaker anabana kichwa cha mtu then anakibamiza chini but uhalisia ni kuwa kile kichwa huwa hakifiki chini..

Fake Scene zipo nyingi sana mkuu
Sawa kabisa ile ya Terker huwa nairudia mara nyingi sana na jibu huwa lile lile ya kuwa kichwa hakifiki chini
 
Sawa na ile spear kakopi ya Goldberg mnyama na ile ya Randy Orton vipi mana huwa naiona kama hatar hivi
Yote hayo katika taaluma ya utabibu ni mapigo yasiyoua wala kusababisha ukilema,hata wewe ukipigwa RKO ya Randy Orton kwenye ile ring yao baada ya muda utanyanyuka na utakuwa sawa kama kawaida,ila ile RKO au DDT ya Dean Ambrose au ile finishing ya Seth Rollins ukipigwa sehemu ngumu kama kwenye barabara ya lami au kwenye sakafu unakufa hapohapo!
 
Sasa Batista ndo nini amefanya hapo
ezgif.com-f5ba349f00.gif
 
Kile kichapo walichopata akina Baron Corbin na team yake ya AOP kutoka kwa shield pale mwishoni mwa mechi yao ya tag team kwenye raw ya jana siyo cha nchi hii!.....baada ya mechi nimekimbilia kuangalia marudio youtube mara kumi kumi ila hata hamu ya kuangalia haiishi!
Walichanganyiwa habari na the shield hadi wakasahau walipo
 
Ivi ni rest in peace au ni tombstone
Chief hapa napingana na wewe kidogo....

Matukio fake yapo mengi sana..

Kwa mfano;

SUICIDE DIVE.. Mara nyingi hii style anayeruka ni lazima adakwe na ni marufuku kumkwepa

REST IN PEACE BY UNDERTAKER..
Hii style inaonyesha kuwa Undertaker anabana kichwa cha mtu then anakibamiza chini but uhalisia ni kuwa kile kichwa huwa hakifiki chini..

Fake Scene zipo nyingi sana mkuu
 
Back
Top Bottom