M masoudmwevi Member Aug 5, 2008 53 2 Sep 16, 2011 #1 Waalim wa math's primary,sec,vyuo wamekutana mkoan Iringa kujaribu kubun mbinu za kuwafanya vijana wapende Hesabu
Waalim wa math's primary,sec,vyuo wamekutana mkoan Iringa kujaribu kubun mbinu za kuwafanya vijana wapende Hesabu
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Sep 16, 2011 #3 Nyakageni said: Per diem tu, hamna lolote Click to expand... umenena mkuu ni mbinu ya kutafutiana ulaji tu................sidhani ka watakuja na kitu kipya
Nyakageni said: Per diem tu, hamna lolote Click to expand... umenena mkuu ni mbinu ya kutafutiana ulaji tu................sidhani ka watakuja na kitu kipya
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Sep 16, 2011 #4 Me nlidhan hata wamegundua formular flan ambayo itakua aplicable ktk maths,kumbe wamekutana 2..hakuna k2 hapo.
Me nlidhan hata wamegundua formular flan ambayo itakua aplicable ktk maths,kumbe wamekutana 2..hakuna k2 hapo.
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Sep 16, 2011 #5 Hakuna watakachofanya hapo. Baadhi yao hata hesabu haipandi, wanababaisha tu.
M masoudmwevi Member Aug 5, 2008 53 2 Sep 18, 2011 Thread starter #6 hivi kumbe watoto wa shule ya msingi mwaka huu walifanya hisabati kwa majibu ya kuchagu?