Wadau wa JF

Wadau wa JF

Naendelea kukusisitiza usisahau kuleta mrejesho ni muhimu kwa matumizi ya baadae.

Usisahau mrejesho. Nafurahi jinsi unavyoleta mirejesho na nadhani wewe ni mwana JF mzuri kabisa na unaelewa maana ya mirejesho.
 
Mbona mapovu hivi???
Nini shida??
Ila mnapoint kwanini nisibadilishe id couse sijaolewa bado .
2. Muda anaopata kuandika hivi
Hivi nyie ngoja niwe mmpole kabisaa umeonea humu nakuringiwa nakublockiwa utaacha kuwaringia kama walivyokuringia sema tu wewe mwenyewe.
Tatizo sio wivu ni hamuamini nasiitaji muamini.
Lazima mwaka huu mjisort mtaongea eti sijui mwanaume ndio mimi ni mwanaume tatizo nini ?
Wakiongea watu wengine .
Ambao hawajawin mzungu ni anaolewa hapa tu.
Mnafurahia mana hajapiga hatua wala nini.
Eti gauni la maids analijua je wewe unajua maana yake??
Msinichoree muamini msiamini nabado ngoja niolewe muone yaani hamtakunywa maji humu.
Mimi sio staa ni riski golden chance yangu ni prove kuwa ni kweli.
Kabisaa???😈😈😈😈 na bado.
 
Mbona mapovu hivi???
Nini shida??
Ila mnapoint kwanini nisibadilishe id couse sijaolewa bado .
2. Muda anaopata kuandika hivi
Hivi nyie ngoja niwe mmpole kabisaa umeonea humu nakuringiwa nakublockiwa utaacha kuwaringia kama walivyokuringia sema tu wewe mwenyewe.
Tatizo sio wivu ni hamuamini nasiitaji muamini.
Lazima mwaka huu mjisort mtaongea eti sijui mwanaume ndio mimi ni mwanaume tatizo nini ?
Wakiongea watu wengine .
Ambao hawajawin mzungu ni anaolewa hapa tu.
Mnafurahia mana hajapiga hatua wala nini.
Eti gauni la maids analijua je wewe unajua maana yake??
Msinichoree muamini msiamini nabado ngoja niolewe muone yaani hamtakunywa maji humu.
Mimi sio staa ni riski golden chance yangu ni prove kuwa ni kweli.
Kabisaa??? na bado.
Yaaaan wewe bora ulivyokosa! ....wee hata ukimpata konda akakutangazia ndoa si ndo utakunya hapa JF?...hivi tu uwongo unajisemesha semesha je ungepata?

Haya Husband seeker endelea kuseek
 
haya... nipe namba za wadodgo wa shemeji... ata rafiki jamaniiii
 
Umenifanya nimecheka sana.
Daah naandika pumba sana nini.
Ni mimi sijamuuzia mtu.
Pumba ukizichanganya na mashudu ni bonge ya chakula kwa mifugo.

So, usiogope kuziandika mkuu.
 
Yaaaan wewe bora ulivyokosa!
emoji15.png
emoji15.png
....wee hata ukimpata konda akakutangazia ndoa si ndo utakunya hapa JF?...hivi tu uwongo unajisemesha semesha je ungepata?

Haya Husband seeker endelea kuseek
Unatukana sana unamiaka mingapi ???
Dada hebu kua acha hasira unahasira unamatusi mazito nenda kaonekane
Hii ni zamu yangu eti eh?? Bado sijaonekana
 
Wazungu wanataka mtu kichwani anajielewa so mbali na hapi witnesi utatukana sana mpaka uchoke mimi nimeshafundwa najielewa nimwanamke ambaye na staa
Nanimeanza kuvumilia kama haya mimi ninafurahi sana nikiwa na mtu kama wangu huyu kwa maana nimetoa stress kama zako.
 
Back
Top Bottom