Wadau wa JF

Wadau wa JF

Ila jifurahishe mwaya....wanasema maneno huumba yawezekana ukapata unachokitaka shost
 
Mara Finland , Mara Dubai mara Zenji ...tukamate lipi tuache lipi?

Ajisemee mdau hapo juu " akitoka ndotoni asisahau kuswaki haaahaaaa
mwache mwezako kaitwa na beib akamfanyie massage. Sasa sijui ndoa tayari
Huyu atakuwa ni mkaka aisee mdada hawezi jidhalilisha hivi.
 
Ndio sasa id hyo hyo alafu thread kila siku mara gaun la harus mara visaa anaturingishia au
Ingekuwa kweli huo muda wa kuja kuturingishia angeupata wapi? ......liongoo bana!
 
Back
Top Bottom