RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,760
- 129,496
Whats going on here?Usinisahau jomoni
Whats going on here?Usinisahau jomoni
Kama hujui kwanini nimeandika hivyo,basi nimekufananisha.Umenifanya nimecheka sana.
Daah naandika pumba sana nini.
Ni mimi sijamuuzia mtu.
Kama hujui kwanini nimeandika hivyo,basi nimekufananisha.











Umekua.
Watu tunabadilika. Nafurahi kujiona na Mimi nimebadilika.
Hahahhahahaha basi nimeshajua mwanzo ulikuwa unamaanisha nini.Umekua.
Mkuu mimi siyo mdau wa picha lakini naunga mkono hoja Bila picha ni uzamwamwa huu aweke pichaUzi kama huu bila picha sawa na mwanamke kuvaa dela bila chura
Inaonekana mkuu upo smart sana kichwani ???Wala hazijawa hadimu mkuu.
Mwanamke ukiwa unajitambua, unajiamini, upo smart kichwani, upo smart mwonekano ( mavazi), unajituma , una ushauri " endelevu". Wanaume wa kukuoa watakuja wengi utafanya kuchagua tuu.
Yaan ana multiple ID kama mia zote hivi hivi storee zake zote huwa ni kamba hata hii ni chai ( labda la kutafuta Mme)Yaani inaonyesha ni jinsi gani ulivyokuwa haujiamini na kujikubali.
Ndiyo maana hilo linakupa kiwewe.
Bado unashukurugi tuu siku zote.
Ina maana wewe ni mbaya sana??

Sanaa. Yaani hiki ni kichwa cha familia.Inaonekana mkuu upo smart sana kichwani ???
Wala hazijawa hadimu mkuu.
Mwanamke ukiwa unajitambua, unajiamini, upo smart kichwani, upo smart mwonekano ( mavazi), unajituma , una ushauri " endelevu". Wanaume wa kukuoa watakuja wengi utafanya kuchagua tuu.

Sasa chai nyingine kazidisha pilipili zinamuumbua mwenyewYaan ana multiple ID kama mia zote hivi hivi storee zake zote huwa ni kamba hata hii ni chai ( labda la kutafuta Mme)![]()
![]()


Apol by apolWala hazijawa hadimu mkuu.
Mwanamke ukiwa unajitambua, unajiamini, upo smart kichwani, upo smart mwonekano ( mavazi), unajituma , una ushauri " endelevu". Wanaume wa kukuoa watakuja wengi utafanya kuchagua tuu.

Lakini hujaolewa bado???Sanaa. Yaani hiki ni kichwa cha familia.
Yuariiiii mainApol by apol![]()
Nimeolewa mkuu tangu 2016Lakini hujaolewa bado???
Werevaaaaaa yuariiiiiiYuariiiii main
Mara Finland , Mara Dubai mara Zenji hatujakaa sawa huku MoroccoSasa chai nyingine kazidisha pilipili zinamuumbua mwenyew![]()
...tukamate lipi tuache lipi?