codifier
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 439
- 854
Habari za majukumu wana JF.
Naomba msaada wenu namna ya kutatua hili tatizo kwenywe cm yangu *NOKIA X2 dual SIM*.
Simu hii haifungui play store na nimejaribu ku format na ku add google account lakini bado inakataa kufunguka na ina display message hii.
Tafadhali mwenye ujuzi namna ya kuondoa tatizo hili anisaidie.
Ahsanteni na kazi njema.
Naomba msaada wenu namna ya kutatua hili tatizo kwenywe cm yangu *NOKIA X2 dual SIM*.
Simu hii haifungui play store na nimejaribu ku format na ku add google account lakini bado inakataa kufunguka na ina display message hii.
Tafadhali mwenye ujuzi namna ya kuondoa tatizo hili anisaidie.
Ahsanteni na kazi njema.