kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 735
Jamani tunaofuatilia michuano ya AFCON inayokufanyika kule nchini gabon tuwe tukijadili mienendo ya mechi katika uzi huu....
Mimi binafsi nimejikuta navaa uzalendo kwa zile nchi za kusini mwa jangwa la sahara yaani... Congo drc, Zimbabwe na uganda..
Na mzunguko wa kwanza umemalizika kwa timu zote kutoka sare isipokuwa timu tatu tu...
Je wewe unazungumziaje mashindano haya ukiwa kama mtazamaji tu wa haya mashindano?
Mimi binafsi nimejikuta navaa uzalendo kwa zile nchi za kusini mwa jangwa la sahara yaani... Congo drc, Zimbabwe na uganda..
Na mzunguko wa kwanza umemalizika kwa timu zote kutoka sare isipokuwa timu tatu tu...
Je wewe unazungumziaje mashindano haya ukiwa kama mtazamaji tu wa haya mashindano?