Bakyaitaki
Member
- Apr 6, 2012
- 65
- 44
Wapendwa wasalaam.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.
Catering n cooking
Fashion and design
Midwifery
Nimetoa hizi zinaweza kumfanya ajiajiri kwa urahisi sana na kwa mtaji mdogo tu.
Midwifery ndo akina nani hawa mkuu ama wale wanaozalisha wajazito?
Wanahusika na kutoa huduma zote kwa wajawazito na wazazi kuna watu wengi tu wanahitaji hii huduma akijitangaza vizuri atazikimbia kazi
Mkuu Keisangora, nimependa hiyo foreign language. Unaweza kunisaidia chuo kinachotoa kozi hiyo?Muulize kwanza yeye anapenda nini mkuu itasaidia sana.
Anaweza anasoma computer na English anapiga vizuri imkae mdomoni ni fursa pia. Akijumlisha na kichina itakuwa poa sana mana saivi wachina wanakuja nchini so wanahitaji wakalimani.
Anaweza anakafanya ustawi wa jamii kama ana vigezo na wewe una vigezo mkuu.
Kuna certificate ya Sheria pale saut Mwanza anaweza anakomaa nayo.
Anaweza akasoma community health pia hawezi lala njaa.
Kuna kozi ya wauguzi wa hospital wale wavao nguo kama za kijani.
Anaweza akajifunza foreign language like Germany, Spanish and Portuguese zinamtosha kumuweka mjini.
Anaweza akajifunza masuala ya Assistant surveyor kama ana vigezo pia kama anapenda pia.
Kama ana hulka ya kiume kikazi anaweza akajifunza udereva mkuu baadaye ukampeleka NIT ni Bonge la dili sana.
Anaweza anakasomea hata Ado wale wauzaji wa dawa pharmacy.
Anaweza akasomea ualimu wa watoto wadogo wale wa chekechekea mkuu.
Ama wewe ukamuajiri katika biashara yako ama ukamfungulia ukamwambia akomae akurudishie mtaji wako uliompatia.
Mkuu mambo ni mengi sana kikubwa ni nini yeye anapenda.
Binafsi nilipenda sana kuwa mfanyabiashara ila ndugu wakanishauri nisome na huku napenda kuwa tajiri mpaka Leo hii naona maisha yote sawa. Sio kuwa MTU akisoma ndo Hela ataipata kirahisi sana.kila Hela ni ngumu regardless umeipataje
Hakika wewe ni baharia wa ukweli, wengine naona tunanusa nusa ubaharia hapa.Muulize kwanza yeye anapenda nini mkuu itasaidia sana.
Anaweza anasoma computer na English anapiga vizuri imkae mdomoni ni fursa pia. Akijumlisha na kichina itakuwa poa sana mana saivi wachina wanakuja nchini so wanahitaji wakalimani.
Anaweza anakafanya ustawi wa jamii kama ana vigezo na wewe una vigezo mkuu.
Kuna certificate ya Sheria pale saut Mwanza anaweza anakomaa nayo.
Anaweza akasoma community health pia hawezi lala njaa.
Kuna kozi ya wauguzi wa hospital wale wavao nguo kama za kijani.
Anaweza akajifunza foreign language like Germany, Spanish and Portuguese zinamtosha kumuweka mjini.
Anaweza akajifunza masuala ya Assistant surveyor kama ana vigezo pia kama anapenda pia.
Kama ana hulka ya kiume kikazi anaweza akajifunza udereva mkuu baadaye ukampeleka NIT ni Bonge la dili sana.
Anaweza anakasomea hata Ado wale wauzaji wa dawa pharmacy.
Anaweza akasomea ualimu wa watoto wadogo wale wa chekechekea mkuu.
Ama wewe ukamuajiri katika biashara yako ama ukamfungulia ukamwambia akomae akurudishie mtaji wako uliompatia.
Mkuu mambo ni mengi sana kikubwa ni nini yeye anapenda.
Binafsi nilipenda sana kuwa mfanyabiashara ila ndugu wakanishauri nisome na huku napenda kuwa tajiri mpaka Leo hii naona maisha yote sawa. Sio kuwa MTU akisoma ndo Hela ataipata kirahisi sana.kila Hela ni ngumu regardless umeipataje
Midwifery ndo akina nani hawa mkuu ama wale wanaozalisha wajazito?
Naona baharia kakufafanulia kulingana na mgawayo wa majukumu.Wanahusika na kutoa huduma zote kwa wajawazito na wazazi kuna watu wengi tu wanahitaji hii huduma akijitangaza vizuri atazikimbia kazi
Mana wazazi ni wengi sana mkuu.
Hizi Huduma ndo zile akiwa anaenda kliniki mama mjamzito pia na akishajifungua mama anakuwa ni mzazi so hawa wanahusika na kuwapa Huduma mana bado wanaendelea na kliniki mkuu ama nipo nje
Kamuulize anapenda kufanya nini. Msipende kulazimisha watoto wafanye mnavyopenda nyinyi.Wapendwa wasalaam.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.
Midwifery ni taalumaNaona baharia kakufafanulia kulingana na mgawayo wa majukumu.
Midwifery ni Wakunga(Mkunga)
Kama atajiajiri Kama mama ntilie ajira hamnaHoteli menejimenti