Bakyaitaki
Member
- Apr 6, 2012
- 65
- 44
Wapendwa wasalaam.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.