Odds ndogo kiasi hicho nazo ni za kusubiri kwa wiki 3? Jpl tu hapo kuna mechi kibaoKuna hizo mechi tatu wadau nataka nitie hii laki tisa mnayouona hapo vipi nitataboa au nitapotea wadau mawazo yenu muhimu kama wawekezaji kuelekea mwisho wa ligi.
View attachment 2990710
Huu ni ulevi.lakini pia nadhani serikali ingeingilia kati.hili eneo la kubeti linaua nguvu ya uchumi wa nchi.ni sawa wanakusanya kodi vizuri lakini ni eneo la kijinga kulitegemea kama chanzo za fedha kwa sababu kodi zinakuwa zinakusanywa kwa matumizi yaliyofanywa na wagonjwa wa akili.Hii ni adiction.Ni kama kukusanya kodi kwa wauza cocainKuna hizo mechi tatu wadau nataka nitie hii laki tisa mnayouona hapo vipi nitataboa au nitapotea wadau mawazo yenu muhimu kama wawekezaji kuelekea mwisho wa ligi.
View attachment 2990710
Tafuta kazi ya kufanya usipende kuingia kwenye mambo yasiokuhusu hamna mtu alieomba pesa Yako humuHuu ni ulevi.lakini pia nadhani serikali ingeingilia kati.hili eneo la kubeti linaua nguvu ya uchumi wa nchi.ni sawa wanakusanya kodi vizuri lakini ni eneo la kijinga kulitegemea kama chanzo za fedha kwa sababu kodi zinakuwa zinakusanywa kwa matumizi yaliyofanywa na wagonjwa wa akili.Hii ni adiction.Ni kama kukusanya kodi kwa wauza cocain
Hapo kwa madrid patafakari upyaTafuta kazi ya kufanya usipende kuingia kwenye mambo yasiokuhusu hamna mtu alieomba pesa Yako humu
Hiyo gem haiishi bila goli kupatikana na atleast more than 8 corners FT na kwakuwa ni final under 3.5 bookies first half nadhani ni machaguo SAHIHIKwamba anaweza asichukue uefa
Umeelewa hiyo option lakini swala la kuisha bila magoli Mimi hainihusu ilimradi Madrid ashinde uefaHiyo gem haiishi bila goli kupatikana na atleast more than 8 corners FT na kwakuwa ni final under 3.5 bookies first half nadhani ni machaguo SAHIHI
MWISHO WA SIKU USIKILIZE MOYO WAKO. usiwe distracted na maoni yetu
Haina tofauti sana na ile ya team to qualify. Hio kwakuwa ni final maana yake madrid anyenyue kwapa so naielewa sanaUmeelewa hiyo option lakini swala la kuisha hila magoli Mimi hainihusu ilimradi Madrid ashinde uefa
Aende na pale saudia aka mpe al hiilalWeka mkuu usijivunge, kwa kuongeza kuna fainali ya DFB Pokal ujerumani pale kampe leverkusen, tia mpunga, kama huna mashaka kuna vioddsvya uhakika hapa kati weka chukua mpunga.