bafetimbi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 1,085
- 1,761
Nina wiki tatu tu tangu nimehamia kwenye hii nyumba, mama mwenye nyumba tunaelewana saanaa ila huyu binti yake(yuko form 4) toka nafika siku ya kwanza nilimsalimia hakuitikia ila alikua akiniangalia angalia mara kwa mara, siku zikaenda mambo ni hayo hayo haitikii salamu yaani ana maringo ringo flani hivi kiukweli nakiri kabinti ni kazuri hatariii...nikaona sasa huyu nisiwe namsalimia tukawa tunapishana tu (dawa ya moto ni moto). Ila juzi uzalendo ukanishinda kununiana na mtoto wa kike ni dhambi kubwa sana (usinuniane na chakula) nikaona acha niact ule ujentomani wa kwenye muvi nione kama utafanya kazi, juzi narudi jioni .