Wadau mwenye taarifa juu ya Frontier Data Corp

senetor sabo

Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
21
Reaction score
0
Wapendwa habarini za majukumu kuna hawa jamaa wa Frontier Data Corp walitangaza nafasi za Part Time Researcher kuhusu markertinga katika baadhi ya mikoa hapa nchini deadline ilikua tar 3 March.

Vipi kuna mwenye taarifa juu yao.
 
Hata me nlitumaga cv..lile tangazo walilotoa zoomtz lkn naona kimya mpaka leo...I don knw...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…