Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,629
- 188,887
Usisahau mrejesho mkuu!
forex ni very simple njia ya kuish hasa kibongo huku ukiwa unafanya michongo mingine.Wakuu habari
Baada ya kutafakari kwa muda nimeona nijaribu forex trade, ndio inaweza kuniletea uhuru kamili, ambao nimekuwa nikiusaka tangu nizaliwe, kujiriwa niliacha kwa kukosa uhuru ila hata kujiajiri naona freedom yake ipo limited kwa kuwa kuna maamuzi ya serikali na mamlaka zake yananiathiri. Uzuri wa Forex ni hakuna hakuna bosi wala serikali
So baada ya kuchukua Kama mwezi hivi nikisoma, na kupitia charts kwenye MT4 nataka nianze demo kwa muda wa miei 6 hivi kisha nitafungua micro account na nita depositi dola 1000 kama pilot
Nikifanikiwa ku trade na kuongeza account iongezeke angalau kwa 50% au zaidi ndani ya mwaka Basi nitafungua mini account ya dola 10,000, lengo langu ikiwa Ni kuja ku trade kwa standard account ya dola 100,000
ila nimesikia 95% ya watu wanaoingia kwenye hii venture huwa wanafeli na ndio maana nikaanzisha huu Uzi kupata criticism na mapendekezo kutoka kwa watu waliofanikiwa.
nimejipanga namna hii ili nisiingie kwenye Hilo kundi la 95% Ila Kama una cha ziada changia kwenye comments
1. Wengi wanai treat hii Kama get rich quick scheme, mfano mtu kutengeneza dola 10,000 ndani ya mwezi kwa kianzio Cha dola 1000 tu au chini yake, japo Ni possible Ila Mimi Sina expectation kubwa hivyo, Niki double account yangu ndani ya mwaka itakuwa mafanikio makubwa sana kwani itakuwa return ya 100% kwenye uwekezaji ambacho ni exceptional kwangu, kwani uwekezaji kwingine unanipa return ya 20% tu kwa mwaka, hela ukiiweka Benki riba ni chini ya 10%
2. Kutaka mafanikio ya haraka ndio kunawafanya watu kuweka leverage kubwa Kama za 1:100 au zaidi ili ku trade na lot kubwa kwa mtaji mdogo, hii ni suicide. Mimi leverage niliyopanga itakuwa 1:5
3. Expectation kubwa zinakufanya ku trade hata kwenye setups ambazo hazina uhakika Sana.
Mimi nitakuwa na trade trend reversals kwenye 4hr na 1Day pair za USDCAD na NZDUSD , nimepitia chat zake kwenye MT4 nikaona hakuna signal fake nyingi lakini naweza kukaa hata mwezi au zaidi kabla ya kupata signal iliyokidhi vigezo nilivyoweka, kwenye timeframe za chini kama 30Min na 1Hr kuna signals nyingi lakini kuna fake nyingi sana pia, so ndani ya mwaka pengine naweza kupata trade hata 10 tu kwenye 4hr na 1Day..!
4. Mtaji mdogo, Kuna watu wanaanza ku trade hata na dola 100 au 50, hii inakufanya uwe under capitalized, wakati unatakiwa at most 2% ya capital yako ndio unaitrade
Mimi nitakuwa na dola 1000 ambazo nitakuwa na risk dola 10 Hadi 20 kwenye trade moja kwa kubalance lot size na pips zitakazokuwa kwenye stop loss
5. Watu wengi Hawa practice demo, watu kwa Sababu wanakuwa na mshawasha wa kutengeneza hela haraka unakuta hata Ile demo Hawa practice au Wana practice kwa muda mfupi na wala hawazingatii wananchojifunza huko, Mimi demo yangu itakuwa miezi 6 na Kama Nikiona mambo magumu basi Nita extend hata Hadi mwaka, sitaingiza hela kwenye account kama nikifeli demo
Hayo ndio machache niliyoyaona kwa haraka, pengine niki trade na demo nitagundua mengi zaidi, kama mkakati huu una matumaini ya juu sana au ya chini sana au kuna vitu ume miss niambie kwenye comments
Pia kama una suggestion ya broker mzuri niambie pia maan a nataka broker nitakyemtumia kwenye demo ndio huyo huyo nitamtumia kwenye real account
Moja Kati ya reply bora kabisa kuwahi kutokea jfForex ni kama betting...Tena bora betting
1.Forex ni Vs wazungu na mbaenk
Betting ni Vs Wahindi na betting companies
2.betting unakuwa unazijua tim
Forex hujui market(unstability)
3.Betting rahisi kumasta
Forex ngumu kumasta
4.Betting hawapangi matokea lakini wanalimit odds
Forex wanacontrol matokeo
5.Betting unaweza kuulamba lakini forex you are guaranteed to loose
Moja Kati ya reply bora kabisa kuwahi kutokea jf
Sjui Kwa nn watu hawaelewi hili , in short Forex ni kubahatisha ..... Kuna watu wanacontrol soko , hakuna formula maalum ...... Japo kuna watu wenye nyota ya kubahatisha lakn still ni risk , 95% ya watu wanaloose af useme mi normal kama business zingine , hyo ni bonanza iliyochangamkaForex ni kama betting...Tena bora betting
1.Forex ni Vs wazungu na mbaenk
Betting ni Vs Wahindi na betting companies
2.betting unakuwa unazijua tim
Forex hujui market(unstability)
3.Betting rahisi kumasta
Forex ngumu kumasta
4.Betting hawapangi matokea lakini wanalimit odds
Forex wanacontrol matokeo
5.Betting unaweza kuulamba lakini forex you are guaranteed to loose
Na ipo complicated makusudi ili kuwavuta maboya...utaambiwa unaliwa kwasababu ya strategy mbovu au psychology au hufatilii news nk. nk. unakuta unajipa moyo unaendelea kutrade kuwapa hela wazungu.Sjui Kwa nn watu hawaelewi hili , in short Forex ni kubahatisha ..... Kuna watu wanacontrol soko , hakuna formula maalum ...... Japo kuna watu wenye nyota ya kubahatisha lakn still ni risk , 95% ya watu wanaloose af useme mi normal kama business zingine , hyo ni bonanza iliyochangamka
Bonanza iliyochangamka😂😂😂Sjui Kwa nn watu hawaelewi hili , in short Forex ni kubahatisha ..... Kuna watu wanacontrol soko , hakuna formula maalum ...... Japo kuna watu wenye nyota ya kubahatisha lakn still ni risk , 95% ya watu wanaloose af useme mi normal kama business zingine , hyo ni bonanza iliyochangamka
Forex sio rahisi kama wengi tulivyoaminishwa!Na ipo complicated makusudi ili kuwavuta maboya...utaambiwa unaliwa kwasababu ya strategy mbovu au psychology au hufatilii news nk. nk. unakuta unajipa moyo unaendelea kutrade kuwapa hela wazungu.
Utaambiwa forex ni betting kwa wale wasioijua vizuri
Lakini utakuta wanaoijua vizuri hawatrade ila wanauza forex lessons au signals
Forex ni kama betting...Tena bora betting
1.Forex ni Vs wazungu na mbaenk
Betting ni Vs Wahindi na betting companies
2.betting unakuwa unazijua tim
Forex hujui market(unstability)
3.Betting rahisi kumasta
Forex ngumu kumasta
4.Betting hawapangi matokea lakini wanalimit odds
Forex wanacontrol matokeo
5.Betting unaweza kuulamba lakini forex you are guaranteed to loose
Hamna jibu Bora hapoMoja Kati ya reply bora kabisa kuwahi kutokea jf
Una mda gani kwenye forex, tuanzie hapo!Hamna jibu Bora hapo
Betting na forex zinatofautiana kwa namna hii
Zote Ni probability ndio lakini
1. ku bet Kuna match zenye high probability ya kushinda na zenye low probability
Ila wenye kampuni wanakuweka wewe kwenye always kwenye disadvantage kwa kupunguza rewards kwenye zile match zenye high probability
Mfano Bayern Munich vs Arsenal Ina probability kubwa ya Bayern kushinda, Ila wenye kampuni wanaweka rewards sana kiasi kuwa ili upate hela ya maana labda uweke millioni kadhaa, ambayo ni disadvantage kwa mchezaji
2. Kwenye forex kuna setup zenye high probability ya kupiga pips pia (Kama unajua forex utaelewa hili) lakini tofauti rewards zake hazipunguzwi kisa setups Ina high probability
3. Forex ni biashara ambayo ipo free, Kuna pairs nyingi za ku trade, Kuna brokers ambao wapo regulated, kusema benki zi control movement ya fedha ni ngumu kwani wapo players wengi Sana ambao ku collude Ni ngumu, mfano, Corona virus ilivyotokea Kuna fedha zilishuka na nyingine kupanda kutokana na factors ambazo zinajulikana, Sasa hapo hakuna benki ambazo zingeweza kuungana ili zizuie hiyo movement
4. Forex una muda wa ku practice kwenye demo kadri utakavyo, na ukijiridhisha winning ratio yako Ni kubwa unaweza kuweka hela, Kama sio unaweza kuacha, so mpaka mtu uliwe hela utakuwa umekosa tu kufuata kanuni simple tu
Ni sawasawa na kumwambia tajiri wa mabasi kwamba wewe angalia tu basi lako linatumia mafuta litre ngapi ila usiangalie bei ya lita ya mafuta! KATIKA FOREX NO PIPS WITHOUT MONEY AND NO MONEY WITHOUT PIPS. BOTH PARAMETERS ARE IMPORTANTPips si ndio hela mkuu
Basi sawa, nikutakie kila la kheri!miaka 3