Wadau Kesho naenda Vatican City kumpelekea malalamiko Papa. Kitendo alichofanya Padre kimenikwaza sana

Wadau Kesho naenda Vatican City kumpelekea malalamiko Papa. Kitendo alichofanya Padre kimenikwaza sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Padre ananiambia niache uzinzi, anahubiri anasema mimi ni mdhambi sababu nawatolesha Mimba mademu ambao nawagegeda kisha wakipata mimba solution ni moja. Toa.

Haya mambo ni kupangiwa na mabeberu wananionea wivu sababu mimi ni kidume cha mbegu. Wanataka waafrika tuwe wachache wao wawe wengi.

Naenda kwa Papa kuzungumza hili jambo. Na huyu Padre asijichanganye siku moja kupita mtaani. Nina masela wangu wavuta bhangi nimeshawaambia akiingia kwenye 18 waruke naye. Nitawapatia pesa za bhangi na visungura. Jamaa wamenishukuru sana. Nimewaambia tushirikiane kulinda amani. Unadhani hawa wanawake wakizaa nani atawalisha watoto wao na kuwahudumia? Hapo si amani kwangu itavunjika?

Haya yote ntamwambia Papa na picha ntapiga kuwaonesha tumeongea na mwisho ntamwomba aniombee amani, umoja na upendo.
 
Hivi hii vatikani imekuwa rahisi kufikiwa na kila anayetaka kufika huko? Basi itakuwa imebadilika na kuwa vatican mchambawima, mtogole, kazuramimba!
 
Utakuwa umeruka ngazi wewe, hapo unatakiwa uende parokiani, jimboni, kwenye baraza ndio ufike vatikani. Usikurupuke kama wale wahuni walienda huko na kuishia mapokezini utachekwa na kuonekana chizi
 
Utakuwa umeruka ngazi wewe, hapo unatakiwa uende parokiani, jimboni, kwenye baraza ndio ufike vatikani. Usikurupuke kama wale wahuni walienda huko na kuishia mapokezini utachekwa na kuonekana chizi

Hawa waparokiani siwataki nao wanaungana na mwenzao kunikemeq dhambi. Naenda kwa Papa.
 
Wewe kweli Chizi maarifa Nchi ina watu hii sema wanadharau mawazo yenu jamaa wangeomba ushauri humu wasingeenda Italy kupiga picha labda wakaangalie gemu za Juventus tu..

Hilo la kutembelea huku lipo ndo la msingi kwa kweli maana nimewabia ndugu wanipatie pesa za mfuko wa maendeleo mimi nikaonane na Papa
Mazel amekubali anasema niende na niwaoneshe waumini kuwa nimepiga picha na Papa wasinichezee.
 
Utakuwa umeruka ngazi wewe, hapo unatakiwa uende parokiani, jimboni, kwenye baraza ndio ufike vatikani. Usikurupuke kama wale wahuni walienda huko na kuishia mapokezini utachekwa na kuonekana chizi
Zibuka kichwa wewe, mwamba alikuwa anaongelea hao matahira kisomi zaidi.
 
Hakikisha ukiwa unaenda uongozane na bi Lucy Michael yeye ana malalamiko juu ya askofu "Luwacha"
images (31).jpeg
 
Matako ww Vatican unadhani ni isenyela Kila mtu anaingia tu nakutoka nenda kwenye misikiti yenu kalalamike boyla ww mnaweza Kila siku kuisema katoliki mikundu nyie
 
Matako ww Vatican unadhani ni isenyela Kila mtu anaingia tu nakutoka nenda kwenye misikiti yenu kalalamike boyla ww mnaweza Kila siku kuisema katoliki mikundu nyie endeleni kuwanunua hao kenge wengine Ili waitukane katoliki
 
Matako ww Vatican unadhani ni isenyela Kila mtu anaingia tu nakutoka nenda kwenye misikiti yenu kalalamike boyla ww mnaweza Kila siku kuisema katoliki mikundu nyie
mbona unamshushia mjuba matusi makubwa, ina maana huelewi uwasilishaji wa ujumbe huu?
 
Back
Top Bottom