the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,754
- 836
Amesema hasa vyuoni lakini si lazima uwe umefika mi nakuchagulia namba 5 haiwezekani mkuu ukose namba yako hv hv
Amesema hasa vyuoni lakini si lazima uwe umefika mi nakuchagulia namba 5 haiwezekani mkuu ukose namba yako hv hv
13 Back benchers wenzangu mpooo?
Itikia TUPOOOGOO (kwa Bezi huku unapiga meza kama bungeni)
Hahaha saa nyengine hata hatujasikia kilichoulizwa ila kelele zake hatar daah natamanije
Alafu pia mara nyingi back benchers tunakaa men, akikaa mdada basi atakua sistaduu mtukutu & kiburi according to katiba yetu ya back bencha
Hahaha saa nyengine hata hatujasikia kilichoulizwa ila kelele zake hatar daah natamanije