Wadau hebu turudi class enzi hizo

Wadau hebu turudi class enzi hizo

Amesema hasa vyuoni lakini si lazima uwe umefika mi nakuchagulia namba 5 haiwezekani mkuu ukose namba yako hv hv
 
Tusonge nayo kama kawa wazee na mabibi wa jf bado sijawaona huku.....

Hebu njoooniiiiiiiiiiii
 
Looh mbona mie inanihusu kwingi 3 8 13 14

Hahaha ila 13 na 14 ila nikikumbuka niliokuwa napiga nao kelele naishia kucheka tu
 
Hahaha saa nyengine hata hatujasikia kilichoulizwa ila kelele zake hatar daah natamanije

Alafu pia mara nyingi back benchers tunakaa men, akikaa mdada basi atakua sistaduu mtukutu & kiburi according to katiba yetu ya back bencha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom