Wadau hebu turudi class enzi hizo

Wadau hebu turudi class enzi hizo

13 Back benchers wenzangu mpooo?

Itikia TUPOOOGOO (kwa Bezi huku unapiga meza kama bungeni)
 
Mmmmmmmm!

hahahahahaaha kulikoni jaman mbona umeguna???? natamani sana kufika chuo namimi hivi chuo nako kuna NECTA eee???? yani vyuo vyote kufanya mtijani mmoja??? nijuze jameni mi sijafikako hukoooooo!!
 
hahahahahaaha kulikoni jaman mbona umeguna???? natamani sana kufika chuo namimi hivi chuo nako kuna NECTA eee???? yani vyuo vyote kufanya mtijani mmoja??? nijuze jameni mi sijafikako hukoooooo!!

Mi naguna kwa thababu, Invizibo aliandikisha fomu fo mmoja tu, ambae ni mimi, thatha wewe unatokea wapi? Au ndo unataka ubadili kombinesheni..
^^
 
Mi naguna kwa thababu, Invizibo aliandikisha fomu fo mmoja tu, ambae ni mimi, thatha wewe unatokea wapi? Au ndo unataka ubadili kombinesheni..
^^

hahaaaaa bathi tupo wawili mi naweyee!! mi 4 failure hata kombi haijabalance mana nlifaulu bios kiwahili na bookeeping! bora we ilibalance hata private ungeenda! sasa bidada mie masomo yenyewe nlofaulu si rafiki kabisaaaaaa!! ushirikiano zirooo
 
hahaaaaa bathi tupo wawili mi naweyee!! mi 4 failure hata kombi haijabalance mana nlifaulu bios kiwahili na bookeeping! bora we ilibalance hata private ungeenda! sasa bidada mie masomo nlofaulu si rafiki kabisaaaaaa!!

Utakuwa ulitazamia kwangu siku pepa, eti? Mi nilipata kombi ya BEKI (Bayoloji English na KIswahili) na uku mitaan nacheza BEKI iyo iyo, we unacheza ipi?
^^
 
Utakuwa ulitazamia kwangu siku pepa, eti? Mi nilipata kombi ya BEKI (Bayoloji English na KIswahili) na uku mitaan nacheza BEKI iyo iyo, we unacheza ipi?
^^

haha sa si bora wewe hapo wangekufikiria mana kuna kiswa na eng zote luga so ushirikiano upo...teh mi ziligoma yani just imagine bios kisw na b/keeping mweh afu naskiaga wanachuo wanapigana sana exile eti ni kweli???
 
haha sa si bora wewe hapo wangekufikiria mana kuna kiswa na eng zote luga so ushirikiano upo...teh mi ziligoma yani just imagine bios kisw na b/keeping mweh afu naskiaga wanachuo wanapigana sana exile eti ni kweli???

aaa! Hayo mi sijui!! Najua kupaka rangi warembo, uje nikupake kucha rangi, thawa ee?
^^
 
Hahaaaaa 7&8 ndo zangu...hadi nlisababisha wenzangu waccarry course...waliniiga wakatega lecture...ticha katoa test kwenye ile lecture ambayo tulitega....kilichotokea aibu naona mimi....
 
......Daah! kumbe huu uzi unaongele waliofika chuo, ebu nikae pembeni mie nishanyanyapaliwa. Ndo maana sioni hata kimoja kinachonihusu lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom