Wadada wengine kwanini mpo hivi?

Wadada wengine kwanini mpo hivi?

Lucas Mobutu njoo unifafanulie nami nichangie mada, maana nmesoma mara mbili mbili ila nimetoka kapa.
Kichwa changu kizito kuelewa sjui
anashangaa wadada wenzie ambao wanalazimisha penzi yani mwanaume hana time lakini mdada anazidi kumpenda jamaa mara ampe jama pesa nk
ila usiumize kichwa babe😁 twenzetu tu PM
 
anashangaa wadada wenzie ambao wanalazimisha penzi yani mwanaume hana time lakini mdada anazidi kumpenda jamaa mara ampe jama pesa nk
ila usiumize kichwa babe😁 twenzetu tu PM
Aah kumbe... Huwezi jua mtu anapata nini hadi anaforce penzi😂😂 Waswahili wanasemaga siri ya mtungi aijuaye kata

Njoo PM, utanikuta nmetulia tuli nakusubiri
 
Aah kumbe... Huwezi jua mtu anapata nini hadi anaforce penzi😂😂 Waswahili wanasemaga siri ya mtungi aijuaye kata

Njoo PM, utanikuta nmetulia tuli nakusubiri
kabisaa mapenzi yana mambo mengi sana ndio maana hata socrates na Einstein yaliwashinda.
nakuja fasta,huo mstari wa mwisho umenifurahisha sana🥰
 
Anahela nyingi ila unampa unataka ujiaminishie nini?

Anakudharau kisa unamhanya eti mapenzi yake ni matamu?

Unamuita majina ya mapenzi yote na wala hakufagilii, hadi lini lakini?

Hakupigii hakusemeshi hakusaidii wewe kukicha unapeleka kipichu chako tu kwake ukishafanywa single mother basi

Ndio unaanza kulaumu mpaka dunia na una-choice kabisa

Dunia yetu ndio hii chagua mapema mtu sahihi. Ukishaona dalili utakuwa unajua tu huyu sio.

TAKE CARE BI DADA .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom