Wadada wengi hawajisafishi

Am For Real

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
336
Reaction score
817
Jamaa yangu alikuja kwangu akilalamika na kuniambia “Unamkumbuka Jessy yule mwanamke niliyekuambia,aisee ni mwanamke wa ajabu Sana Kati ya wanawake wote niliowahi date nao yeye ni WA tofauti sana”

Nikamuuliza WA tofauti ana nini Cha tofauti??Akaanza kusema “Kati ya wanawake wote niliowahi kutana nao kwenye SITA Kwa SITA huyo nashangaa muda wa mzagamuano hatokwi na vimchele chele vyeupe atakuwa wa ajabu”

Nilichokuja kugundua jamaa kakutana na Wanawake wengi ambao hawajisafishi vizuri maeneo husika kiasi kwamba ameona ni hali ya kawaida.

Nipende tu kusema wanawake wajitahidi kujisafisha.
 
Duh!! imefikia hatua mchele haulimwi tena. unazaliwa
 
Hao ni ama hawajisafishi ama wanajisafisha kupitiliza. Zaidi, wana maradhi.

Kule hapahitaji kutakata. Wala hapahitaji manukato. Wala sabuni. Wengine bila elimu, kwa kudhani wanajisafisha kumbe wanaharibu.
 
Wanawake wengi wameoza aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…