Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,115
- 1,320
Wasalaam,
Katika pita pita zangu nimejiridhisha kuwa wadada wazuri hawajui kuvaa vizuri ukilinganisha na vidada vibaya..yaani unakuta mdada mzuri kweli kweli lakini yuko hovyo kimavazi,mchafu n.k ila sasa ukutane na kidada cha hovyo yaani kinatupia mpaka unakiogopa..
Hapo tuelewane kwamba kuna tofauti ya mdada mzuri na mrembo..hapa nimezungumiza wadada wazuri siyo warembo..
Nawasilisha
Katika pita pita zangu nimejiridhisha kuwa wadada wazuri hawajui kuvaa vizuri ukilinganisha na vidada vibaya..yaani unakuta mdada mzuri kweli kweli lakini yuko hovyo kimavazi,mchafu n.k ila sasa ukutane na kidada cha hovyo yaani kinatupia mpaka unakiogopa..
Hapo tuelewane kwamba kuna tofauti ya mdada mzuri na mrembo..hapa nimezungumiza wadada wazuri siyo warembo..
Nawasilisha