Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,993
- 156,310
ofisi haihusiani na uswahilini..naeza kuwa wa ofisi ila nakaa uswahilini...Habari wana JF.
Katika kauchunguzi kangu nilikokafanya hadi leo hii nimekuja kukonkludi kua. Wale wadada wakishua yaani ful mashauzi, linapokuja suala la game pafomansi yao iko poor kabisaaa ukilinganisha na wale wakitaa.
Yaani ukitaka game la maana bora upitie uswahilini utakongoka na roho yako kuliko kuchukua hawa wa ofisi wizi mtupu baby baby nyingiii lakini inapokuja swala la game utakinahi mwenyewe.