Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Sikujua kuwa madada waliopo ofisini ndio wanajulikana kama madada wa kishua.....tafsiri mpya hii kwangu. Na yule Aneth wa pale uwanja wa fisi anaefanya kazi ya usafi wa ofisi pale posta sijui nae yupo kwenye hili kundi....aaaaghhh tired of thinking.
Haaaaa mie mwenyewe wa kishua japo nakaa huku Vingunguti Kiembembuzi...