Wadada wanajiona wa thamani sababu mnawapa pesa

Wadada wanajiona wa thamani sababu mnawapa pesa

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,100
Bwana Yesu asifiwe,

Mimi nimegundua wanawake wengi mnaowaona/wanaoonekana wathamani ni kwa sababu wapo wanaume wanaowapa pesa nyingi bila mpangilio kuliko unazotaka kumpa wewe.

Kumbe uthamani, kujidai na ujeuri wao ni kwa sababu ya hao wanaowapa pesa ovyoovyo. Kwaiyo kumbe kama wanaume watajitambua, nao pia akili yao na kujiona kwao kutapungua. Fedha mnazotumia kuwapa wadada, ungeweza kabsa kulipa Mahari mkaishi mke&mume.

Nanyi wadada MTU anaekupa fedha bila mpangilio na hana mpango wa kukuoa, mwangalie sana, na ndo maana hata fedha zinatumika pasipo mpangilio. Kwa watu wanaopendana huwa wanapeana pesa pale mmojawapo anapokua na uhitaji LAKINI SIO SHERIA MWANAUME KUMPA PESA MDADA WAKATI MPO KWENYE MAPENZI BUBU.
 
Ujue kuna wadada wanaopenda pesa hadi wana pitiliza hao ndo kuwapa pesa inaleta shida.

Wakati ikiwa si lazima kumpa dem wako pesa nadhani ni muhimu, ilimradi zipo na aridhike na ulicho nacho na unachompa
 
Mtumishi hamna namna usipo wapa pesa wanakukimbia....!
 
Bwana Yesu asifiwe!!!!!
Mm nimegundua wanawake wengi mnaowaona/wanaoonekana wathamani ni kwa SBB wapo wanaume wanaowapa pesa nyingi bila mpangilio kuliko unazotaka kumpa wewe.

Kumbe uthamani, kujidai,na ujeuri wao ni kwa SBB ya hao wanaowapa pesa ovyoovyo. Kwaiyo kumbe km wanaume watajitambua, nao pia akili yao na kujiona kwao kutapungua.

Fedha mnazotumia kuwapa wadada, ungeweza kabsa kulipa Mahari mkaishi mke&mume.

Nanyi wadada MTU anaekupa fedha bila mpangilio na Hana mpango WA kukuoa, mwangalie sana, na ndo maana hata fedha zinatumika pasipo mpangilio.

Kwa watu wanaopendana huwa wanapeana pesa pale mmojawapo anapokua na uhitaji LAKINI SIO SHERIA MWANAUME KUMPA PESA MDADA WKT MPO KWENYE MAPENZI BUBU.


Mbona mi nilikuwa nikipewa pesa nyingi tu na wanaume wenye ndege binafsi, lakini hata hivo nilikuwa sipewi pesa na ambae pesa hana. Najiona wa thamani sana tu, ila sila dharau kwa mtu mwenye huruma. Mwanaume mwenye moyo mzuri hata kama hakupi pesa utampenda tu. Shenzi type unalikomoa akupe pesa nyingu
 
Kuna wenye mapenzi ya dhat??? Paka microscope kuwapata....
Haupo crias ndiyo maana hujawapata. kama unawachezea lazima na wewe wakuchezee. you do me i do you huo ndiyo mpango mzima. mimi siwezi nikakupenda kwa dhati wkt nakuona mtu mwenyewe magumashi tuu
 
Pesa imekuwa ni chambo na kichocheo cha mapenzi kwa baadhi ya watu
 
Ukiona mdada anakajeuri au wanasema cjui mashauzi ni dhahiri ana mahsiano na kigogo, m/biashara kwa iyo anajiongeza thamani mwenyewe akijua ww hutampa km anavyopewa.
Mungu awasaidie
 
Napenda Mdada anaejitafutia hata Siku akiniomba mtaji ntampa mana najua pesa haitaenda bure sio yule ambae hataki kujishuhulisha anabagua kazi
1475089057868.jpg
 
Acheni kuwapa pesa ovyo ndo utaoona upendo WA dhati
Hahah pesa na mwanamke ni kama pande mbili za shilingi, kwenye thread yao mpya vitu wanavyochukizwa na wanaume namba moja ni ubahili😀😀.
 
pesa zenyewe sh ngapi wanapewa.

Huoni kila siki wananyang'anywa magari wakiachwa.

Pesa za kuweka nywele bandia,kununua simu, nguo hizo ndo wanazopewa na haziwasaidii.

Wanawake wanaopenda pesa sana wengi hawajitambui.
 
Back
Top Bottom